Mzee Mwinyi katika hili la kuongeza muda wa Asante kwa Rais Magufuli hapana, tunakukatalia kwa nguvu zetu zote

Mzee Mwinyi katika hili la kuongeza muda wa Asante kwa Rais Magufuli hapana, tunakukatalia kwa nguvu zetu zote

Kamati kuu JPM 100%, wazee wa CCM ambao ungetegemea wamshauri JPM ndio style hii ya Mwinyi. Watanzania hali ndio hiyo. Mimi naona giza kama hatuna upinzani madhubuti.
 
Mzee anazeeka vibaya yupo saa 12 jioni jua linazama anaangalia ugali wa familia yake, furaha yake kutuombea tuendelee kuisoma namba
 
Mambo mengine ni kusamehe tu. Mwinyi sasa hivi amezeeka na akili zitakuwa zimechuja.
Ndo inatakiwa akae kimya asituchefue na kuamsha zaidi mashetani yetu maana tumemchoka huyu mharibu nchi alafu anatuletea upumbavu!!!!!
 
Mwinyi ana miaka 95, wengi wetu tutaanza kupoteza kumbu kumbu (Kama Mwenyezi Mungu ataweka uhai) in our earlier 80's

Kuweza tu kumtaja na kumfahamu Rais wa nchi,na kumtambua mwanawe na kuongea na kuwa na (kumbu kumbu?) katika umri huo ni jambo la kushukuru Mungu. Mengine tuelewe na kujiongeza.
 
Mwinyi ana miaka 95, wengi wetu tutaanza kupoteza kumbu kumbu (Kama Mwenyezi Mungu ataweka uhai) in our earlier 80's

Kuweza tu kumtaja na kumfahamu Rais wa nchi,na kumtambua mwanawe na kuongea na kuwa na (kumbu kumbu?) katika umri huo ni jambo la kushukuru Mungu. Mengine tuelewe na kujiongeza.

Basi hao wanaomtumia. mzee wetu kwenye majukwaa ya kisiasa hawamtendei haki.
Nashauri Familia imtunze mzee wetu, imshauri kuhusu umuhimu wa kutotoa kauli za kisiasa
 
huyu Mzee alikua anataka mtoto wake aonwe na jiwe, kama alivyoonwa, sasa jinsi ya kumshukuru jiwe ndio anaona aendelee au kuongezwa muda kinyume na taratibu, ushamba Wa uzeeni
Kheee mnadhani Jiwe ndio alimchagua acheni propaganda huyo kachaguliwa na wazanzibar wenyewe kuingia tano bora. Kimsingi wote walio wachafua tano bora walikuwa na equal chances of being selected.kule dodoma walikuwa wa natafuta tu mshindi mmoja tu
 
Ila Ana mkwe mzuri sana...nilimuangalia yule mwanamke nikasema daah kweli Kuna wanawake wameumbika[emoji7][emoji7]


Umeshaanza kutamani vya watu!!!-- mke wa mtu sumu.
 
Back
Top Bottom