Mzee Mwinyi katika hili la kuongeza muda wa Asante kwa Rais Magufuli hapana, tunakukatalia kwa nguvu zetu zote

Haka kadingi ni kafisadi ndo maana wakati wa urais wake ikulu iligeuka pango la walanguzi hata mwalimu Nyerere akakemea,sikushangaa hata yule kijana alipokatandika kofi msikitini.Wakati umefika Mwinyi apuuzwe na asipewe fursa ya kuhutubia umma.
 
Bahati nzuri hata Mh Rais kashasisitiza mara nyingi kuwa ataheshimu katiba
Atalitumia bunge kuweka kipengere cha kufuta ukomo wa urais wa vipindi viwili kwenye katiba kisha atasema anaheshimu katiba.Hayo aliyafanya Louis Napoleon ( Napoleon iii) wa Ufaransa mwaka 1852.
 
Kheee mnadhani Jiwe ndio alimchagua acheni propaganda huyo kachaguliwa na wazanzibar wenyewe kuingia tano bora. Kimsingi wote walio wachafua tano bora walikuwa na equal chances of being selected.kule dodoma walikuwa wa natafuta tu mshindi mmoja tu
Mwinyi kachaguliwa na kura za Wabara wenzake,Zanzibar hawajamchagua,angalia Nahodha kura 16,yule mwingine 19 jumla 35.
 
Huyu mzee alipoteza akili tangu alipozabwa kibao msikitini
 
Huyo mzee anazeeka vibaya sana
 
Watu walimwekea sumu mangula wakamwacha huyu mfyuuuuu
 
Angalau huyu mzee mwinyi tunaeza sema amezeeka, akili imeisha na tukapuuza kabisa kauli zake.

Kuna watu wengine wenye wazo hili la kubadili Katiba ili kuongezea jpm muda wa kutawala, mfano ndugai, juma ngamia, kessy, nk, Hawa wachumia tumbo ni hatari sana kwa mustakabali wa taifa hili
 
Umeanza vibaya lakini umemaliza vizuri. Kipindi hiki anachomalizia Magufuli anatakiwa atuoneshe kama yeye pia ni mwalimu kwa kufundisha na kuwaandaa vijana kufuata nyayo zake nzuri. Aandae watu wasio na tamaa, waadilifu, wanaopiga vita rushwa, wachapa kazi, wasio na makundi, wenye kujiamini na wenye kuipenda nchi yao. Sio wanafiki. Magufuli amefanya kazi kubwa na mfano wa kuigwa, baada ya miaka kumi anahitaji kupumzika na kula matunda ya yale aliyoyafanyia kazi kimaendeleo kama walivyofanya watangulizi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…