Mzee Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Hayati Magufuli, walisifiwa, walikosolewa! Haki ya kusifu/kupongeza iende sambamba na haki ya kukosoa!

Tatizo lenu mmelelewa kwenye kizazi cha kusifu na kuabudu, ndio maana anapotokea mtu kutaka lifanyike jambo tofauti na hilo kwenu inakuwa nongwa.

Mnataka kutengeneza taifa la wajinga wa kusifia tu, hasa anapoguswa kipenzi chenu, na usituletee habari za motive hapa, alichokifanya Dr. Bashiru ni haki yake, na ni halali yake.

Hizo hisia zenu za anataka kumuharibia mama yenu pelekeni pengine, hili taifa linaongozwa kwa sheria na taratibu, sio kwa hisia kama zenu.

Kama unaona Dr. Bashiru amekosea kwa ile kauli yake mpelekeni mahakamani ambapo unasema wanaangalia motive, halafu uone kama hiyo motive yako bila "established facts" itafanya kazi, usifundishe watu ujinga hapa, mahakama haiamui mambo kwa hisia.
 
Stop quoting me....shambulia hoja sio kushambulia wachangiaji
 
Stop quoting me....shambulia hoja sio kushambulia wachangiaji
Usinitishe, nitaku-quote kila nikiamua, una hoja gani ya maana uliyoandika hapo juu zaidi ya kuleta hisia zako kwa mgongo wa "motive"?

Hapa duniani hakuna motive mbaya inayopewa support na sheria, they are all good.

- Unauliza vipi motive ya Dr. Bashiru kwenye kuendeleza demokrasia ikiwa alichofanya kipo kisheria? sema una yako mengine.

- Unataka kutumia historia ya Dr. Bashiru ili kumnyima haki yake, utambue hata mwizi ana haki zake na zinaheshimiwa kisheria.

Kachezee akili za wajinga wasiojielewa, nimekwambia kama unaamini hizo hisia zako ulizozipa jina la "motive" zipo kisheria, nenda mahakamani kamfunge Dr. Bashiru
 
Ahh The Boss akili kubwa

Hebu agiza kinywaji hapo ulipo

Nakuja kukulipia

Ova
 
Wanaomkosa Bashiru wapo sahihi na Bashiru yupo sahivi sababu wote ni wasaka fursa hakuna ambaye yupo ajili ya wananchi au nchi, Bashiru alihusika na mauji sn enzi ya dikteta
Inatosha kama unakubali hojayake ipo sahihi.
Hayo mambo ya mauwaji ni mambo ya kuhisi tu, hapa mjadala ni kilealichoongea hadharani kilamtu akaona na kusikia.
 
James Henry kuna wakati alituambia wote wanaomkosoa bwana yule wake zao watatiwa mimba! Hii tabia ya viongozi kutopenda kukukosolewa imeanza zamani kidogo.
 
Hajui lolote kuhusu sheria, sometimes muonekano au maandishi hutambulisha kilichomjaa mtu kichwani na moyoni mwake.

Huyo ni wakala wao " team anaupiga mwingi" in Bashiru's voice.
 
Magufuli alikosolewa na Wana ccm? Pili Kuna kukosoa na kukejeli..

Bunge lililopita bila Shaka umeona ukoeoaji lakini Bashiru kakosoa au kakejeri na kuchochea wakulima wawe wakaidi na wahaini.
 
Kama Bashiru Ali alivyofanya,nimekuelewa P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…