Mzee Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Hayati Magufuli, walisifiwa, walikosolewa! Haki ya kusifu/kupongeza iende sambamba na haki ya kukosoa!

Magufuli alikosolewa na Wana ccm? Pili Kuna kukosoa na kukejeli..

Bunge lililopita bila Shaka umeona ukoeoaji lakini Bashiru kakosoa au kakejeri na kuchochea wakulima wawe wakaidi na wahaini.
Makundi yote yataamka dhidi ya kutowajibika na ukandamizaji wa Watawala.

Wafanyakazi walipolalamika wakidai Watawala wamewahadaa juu ya ongezeko la mishahara walitishwa.

Wafanyakazi kuandamana na kudai HAKI Kwa mwajiri IPO kisheria kbs duniani kote.

Hapa mnataka wasifie tu, KAZI mnayo, na ndo kwanza Nov 2022!!!
 
@P You are absolutely right you narrated in a well-versed impartial and rationalized reasoning that justifiably accords the actions to be 'check and balance' simulated.
Dr Bashiru hakutenda kosa lolote, ila waliomshambuliwa wanakosa la kujiingiza kwenye shambulizi binafsi wakati hoja ya kitaifa haijajibiwa
 
Mzee Waryoba amenena vema sana. Hizi habari za ku victimize watu wasabu ya kutoa mawazo yao ni upumbavu wa kiwango chake.
 

Mkuu pole sana umeumizwa sana...kunywa maji ndio demokrasia hiyo hata tusiowapenda huitumia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Hahahaha mtu anapelekewa moto wa hoja...hii ni pumzi ya moto wa hoja hahahahhaha
 
Eti Rais Magufuri alisifiwa na kukosolewa,nani alikuwa na mamlaka ya kumkosoa Mungu Mtu kutoka Chato na Bashiru Ally akiwa mpambe wake,Ujumbe ni mzuri ila matendo yake yake ya KIGAIDI hayatakiwi Tanzania.
 
"Akili ya Kati hujadili matukio," Bora uwe akili ya kati kulikop kuwa na Akili kubwa ya kusifia sifia hasara na kuthamini misamaha isiyo na suluhu kiasi kwamba Watu wengine siyo Watanzania kwa sababu ya akili kubwa.Ambapo kwa akili ya kawaida kilichofanyika 2019 na 2020 hakikubaliki hata siku moja na aliyepanda hicho kitu Dr.Bashiru,sasa atakwepaje lawama?
Bila Dr Bashiru Ally Mama asingekuwa Rais,Samiah amepata urais wa mtelemko kwa sababu ya Bashiru.Vitu vingine tuwe wakweli,haya mambo ya kusifia sifia watawala na kufunga WAKOSOAJI yameanzishwa na Bashiru.Pamoja na mazuri aliyokuwa nayo JPM Bashiru alikuja kubadili upepo na kumfanya Jpm kuwa dictator kuwahi kutokea Tanzania.Acha watoe hisia zao kuhusu Bashiru ili watu wengine kama akina Shaka,Mwingulu Nchemba wajifunze kuwa Cheo ni dhamana.
 
Hili nalo suala la ushauri la Mwanangu Mpendwa Pascal, muende mkalitizame, mwanangu Mpendwa Chongolo na Kaka yangu Mpendwa Kinana na wana-CCM wote kwa ujumla!
 
Kaka Paskali,
Nakukumbusha tu kwamba usisahau kuna kamati mbalimbali
 
KILA NIKIJARIBU KUKUMBUKA KAMA KUNA MTU ALITHUBUTU KUMKOSOA MAGUFURI NA AKABAKI SALAMA, KUMBUKUMBU ZINAGOMA KUJA!!

POLENI SANA FAMILIA YA BENSAANANE!!!
 
Huu uchawa uliasisiwa wakata wa Jiwe akiwa chairman huku huyu Kadoto akiwa km wa chama chakavu.
 
Huyo pia hana lolote zaidi ya chuki,anatakiwa akubali tu matokeo kuwa yule mlinzi wake ameshatwaliwa na yale aliyoyategemea ndo basi tena
 
Kwa walichofanyiwa wakulima wakorosho enzi za bwana yule,huyu Kashoto anatakiwa kunyamaza kabsa
 

Kaka Paskali, hii hoja yako muhimu sana, ila si unajua tena, sisi tunapenda kusifiwa tu bana, Yaani UCHAWA ndio unalipa from JPM era to current times.
Mimi ni CCM, ila niseme hivi, hata wakati wa JPM, uchawa huu huu wa kusifia kufa na kupona Bashiru aliubariki sana, tena Bashiru alikuwa Chawa Mkuu, tena heri ya sasa kusifia imepungua kidogo, enzi za JPM watu ilikuwa ni kusifia hadi ilikera na msifiaji mkuu alikuwa Bashiru na enzi za JPM ukikosoa kidogo huenda ukapata taabu sana au hata kupoteza maisha.

Tatizo wala sio kusifia au kukoselewa kwa kiongozi wa nchi, tatizo kubwa sana naliona, waliotoka madarakani, yaani wastaafu au ambao wametolewa madarakani alafu bado wanang'ang'ania kutokubali kuwa hawako madarakani au kuingilia utendaji wa serikali au kuanza kukosoa hovyo, mfano ni Bashiru, ana tamaa sana ya madaraka, na Bashiru angekuwa wa kukosoa kwanini enzi za JPM hakukosoa na Uhuru wa maoni au Freedom of Expression ilikuwa hakuna kabisa, hapo ndio utajua Bashiru ana lake jambo dhidi ya Mh. Samia Hassan, ni chuki na wivu umemjaa Bashiru hakuna kingine. Bashiru hana kabisa uhalali wa kukosoa, sbb juzi tu enzi za JPM mambo maovu kibao yalifanyika na yeye alikuwa kazi kusifia tu, watu kibao walifilisiwa hela zao etc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…