johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hiki kitabu cha mzee Mwinyi kimejibu maswali mengi sana na unaweza kuamini kabisa CCM inakwamisha mambo mengi kwa maslahi yake binafsi.
Mzee Mwinyi anasema Nyerere alipendekeza pawepo na mgombea binafsi katika mfumo wa vyama vingi lakini kamati kuu ilikataa kwa madai anaweza kutokea mtu maarufu ndani ya CCM akaamua kugombea baada ya kukatwa na hivyo chama kitaangushwa.
Kadhalika mzee Mwinyi anasema CCM ilikataa vyama vya siasa kuungana kwa sababu vinaweza kujenga chama kimoja chenye nguvu na kuiangusha CCM.
Mungu Ibariki Tanzania.
Mzee Mwinyi anasema Nyerere alipendekeza pawepo na mgombea binafsi katika mfumo wa vyama vingi lakini kamati kuu ilikataa kwa madai anaweza kutokea mtu maarufu ndani ya CCM akaamua kugombea baada ya kukatwa na hivyo chama kitaangushwa.
Kadhalika mzee Mwinyi anasema CCM ilikataa vyama vya siasa kuungana kwa sababu vinaweza kujenga chama kimoja chenye nguvu na kuiangusha CCM.
Mungu Ibariki Tanzania.