Kuna haja Wenyenchi Tubadilike kwa Kumchagua MTU na sio chama!
Mzee Mwinyi 'kakosea' sana kutoa siri za 'kilingeni' hadharan
Huu mtindo wa kuandika vitabu inabidi uchochowe kwa viongozi wote ikiwemo makamu wa marais, na mawaziri wakuu, iko siku mtu atakuja kutaja jinsi ccm inakaa madarakani kwa kubadilisha matokeo halisi.
JK hawezi kujilipua kama mzee Mwinyi.Tuombe uzima, cha Jakaya kitakuwa na ladha yake kama hatoweka sana 'diplomasia' yake
Hivi vitendo vya Magufuli kama kuteka, kuua watu, kujeruhi, kupora pesa za watu, kupendelea Chato, kununua ndege nk kinyume cha sheria ya manunuzi zilikuwa ni sera za ccm?Hapo Mzee Nyerere alichemka
Swali lilikuwa huyo mgombea binafsi akishinda atatekeleza sera gani? sababu hana sera yeyote anakuwa tu kama mlevi tu anayetoa tu ahadi hewa za majukwaani
Pili ugumu wa kufanya kazi akishinda.Mfano kashinda uraisi halafu wabunge wote wanatoka kwenye chama.Aweza pigiwa kura ya kutokuwa na imani naye wakati wowote na akatolewa madarakani.Pia aweza kwamishwa na walio wengi bungeni na kwenye watendaji
Lakini mgombea binafsi akiruhusiwa hata leo wa kwanza kufa ni vyama vya upinzani sababu havina network kubwa mijini na vijijini.Pia ni rahisi mtu kushinda kwa kutumia mtandao wa chama kuliko wa kibinafsi laba awe bilionea!! Kampeni nchi nzima sio lelemama
Duh! Inaonekana uelewa wako ni mdogo sana!!Hapo Mzee Nyerere alichemka
Swali lilikuwa huyo mgombea binafsi akishinda atatekeleza sera gani? sababu hana sera yeyote anakuwa tu kama mlevi tu anayetoa tu ahadi hewa za majukwaani
Pili ugumu wa kufanya kazi akishinda.Mfano kashinda uraisi halafu wabunge wote wanatoka kwenye chama.Aweza pigiwa kura ya kutokuwa na imani naye wakati wowote na akatolewa madarakani.Pia aweza kwamishwa na walio wengi bungeni na kwenye watendaji
Lakini mgombea binafsi akiruhusiwa hata leo wa kwanza kufa ni vyama vya upinzani sababu havina network kubwa mijini na vijijini.Pia ni rahisi mtu kushinda kwa kutumia mtandao wa chama kuliko wa kibinafsi laba awe bilionea!! Kampeni nchi nzima sio lelemama
We naye huna exposure..... Huu mfumo upo hta Uganda na Kenya hapo. Kinachotokea independent huwa ana lean mrengo fulaniMgombea binafsi ni porojo tu hata ulaya na marekani wagombea uraisi huwa na vyama
Sana sana labda mbunge na diwani ndio waweza penya ugombea binafsi !!! Tena wa kumulika na tochi.Uraisi si rahisi mgombea binafsi kushinda iwe Africa au ulaya au marekani
Kwani nchi zilizoruhusu mfumo huo endapo mgombea binafsi anashinda anatekeleza sera gani?hayo masera ndo yanayotukwamisha kwenda mbele.shida wabongo kila kitu tunaogopa.we don't like to risk our position,let's allow it.ccm ikifa kwani shida ni nn wabunge wenyewe ni wachumia tumbo tena ni wanafiki wakubwa,kauli zao kea Sasa ni tofauti kabisa na zile waliokuwa wanatoa wakati wa marehemu JPMHapo Mzee Nyerere alichemka
Swali lilikuwa huyo mgombea binafsi akishinda atatekeleza sera gani? sababu hana sera yeyote anakuwa tu kama mlevi tu anayetoa tu ahadi hewa za majukwaani
Pili ugumu wa kufanya kazi akishinda.Mfano kashinda uraisi halafu wabunge wote wanatoka kwenye chama.Aweza pigiwa kura ya kutokuwa na imani naye wakati wowote na akatolewa madarakani.Pia aweza kwamishwa na walio wengi bungeni na kwenye watendaji
Lakini mgombea binafsi akiruhusiwa hata leo wa kwanza kufa ni vyama vya upinzani sababu havina network kubwa mijini na vijijini.Pia ni rahisi mtu kushinda kwa kutumia mtandao wa chama kuliko wa kibinafsi laba awe bilionea!! Kampeni nchi nzima sio lelemama
Hapa wewe ndio unachemka.Hapo Mzee Nyerere alichemka
Swali lilikuwa huyo mgombea binafsi akishinda atatekeleza sera gani? sababu hana sera yeyote anakuwa tu kama mlevi tu anayetoa tu ahadi hewa za majukwaani
Pili ugumu wa kufanya kazi akishinda.Mfano kashinda uraisi halafu wabunge wote wanatoka kwenye chama.Aweza pigiwa kura ya kutokuwa na imani naye wakati wowote na akatolewa madarakani.Pia aweza kwamishwa na walio wengi bungeni na kwenye watendaji
Lakini mgombea binafsi akiruhusiwa hata leo wa kwanza kufa ni vyama vya upinzani sababu havina network kubwa mijini na vijijini.Pia ni rahisi mtu kushinda kwa kutumia mtandao wa chama kuliko wa kibinafsi laba awe bilionea!! Kampeni nchi nzima sio lelemama
Mwinyi anajua ukweli kuwa CCM ipo hapo sababu ya dolaHiki kitabu cha mzee Mwinyi kimejibu maswali mengi sana na unaweza kuamini kabisa CCM inakwamisha mambo mengi kwa maslahi yake binafsi.
Mzee Mwinyi anasema Nyerere alipendekeza pawepo na mgombea binafsi katika mfumo wa vyama vingi lakini kamati kuu ilikataa kwa madai anaweza kutokea mtu maarufu ndani ya CCM akaamua kugombea baada ya kukatwa na hivyo chama kitaangushwa.
Kadhalika mzee Mwinyi anasema CCM ilikataa vyama vya siasa kuungana kwa sababu vinaweza kujenga chama kimoja chenye nguvu na kuiangusha CCM.
Mungu Ibariki Tanzania.
Huyu zuzu haelewi kinachoendelea dunianiHapa wewe ndio unachemka.
Katiba yetu inasema Waziri mkuu ndio mtendaji mkuu wa shughuli zote za Selikari na kama haitoshi ikasema waziri Waziri mkuu atatokana na chama chenye wabunge wengi bungeni
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kwani ivyo vyama viki shinda vina tekeleza sera ya nani?Hapo Mzee Nyerere alichemka
Swali lilikuwa huyo mgombea binafsi akishinda atatekeleza sera gani? sababu hana sera yeyote anakuwa tu kama mlevi tu anayetoa tu ahadi hewa za majukwaani
Pili ugumu wa kufanya kazi akishinda.Mfano kashinda uraisi halafu wabunge wote wanatoka kwenye chama.Aweza pigiwa kura ya kutokuwa na imani naye wakati wowote na akatolewa madarakani.Pia aweza kwamishwa na walio wengi bungeni na kwenye watendaji
Lakini mgombea binafsi akiruhusiwa hata leo wa kwanza kufa ni vyama vya upinzani sababu havina network kubwa mijini na vijijini.Pia ni rahisi mtu kushinda kwa kutumia mtandao wa chama kuliko wa kibinafsi laba awe bilionea!! Kampeni nchi nzima sio lelemama
CCM ndiyo imeleta huu umaskini wa kutishaKwani nchi zilizoruhusu mfumo huo endapo mgombea binafsi anashinda anatekeleza sera gani?hayo masera ndo yanayotukwamisha kwenda mbele.shida wabongo kila kitu tunaogopa.we don't like to risk our position,let's allow it.ccm ikifa kwani shida ni nn wabunge wenyewe ni wachumia tumbo tena ni wanafiki wakubwa,kauli zao kea Sasa ni tofauti kabisa na zile waliokuwa wanatoa wakati wa marehemu JPM
Kwani lazima aweke maandishi ambayo hayatekelezeki ?Swali lilikuwa huyo mgombea binafsi akishinda atatekeleza sera gani?
Mkuu sidhani kama hii sheria ya kuwa na imani ingekuwepo laiti kama angepitishwa mgombea binafsi.Pili ugumu wa kufanya kazi akishinda.Mfano kashinda uraisi halafu wabunge wote wanatoka kwenye chama.Aweza pigiwa kura ya kutokuwa na imani naye wakati wowote na akatolewa madarakani.
Shida yako unadhani kuwa huo utaratibu ungepita basi taratibu zingine zingebaki vilevile..Pia aweza kwamishwa na walio wengi bungeni na kwenye watendaji
Kwani hadi wanamchagua si atakuwa na ahadi kemkem.Atatekeleza hizohizo ahadiDaah unauliza mgombea binafsi akishinda atatekeleza sera gani? Aisee huu ni ukilaza wa hali ya juu
Sasa kama kama mgombea binafsi sio rahisi kushinda, kwanini mnaogopa kuruhusu? Kwanini uogope kitu ambacho hakina madhara kwako?Mgombea binafsi ni porojo tu hata ulaya na marekani wagombea uraisi huwa na vyama
Sana sana labda mbunge na diwani ndio waweza penya ugombea binafsi !!! Tena wa kumulika na tochi.Uraisi si rahisi mgombea binafsi kushinda iwe Africa au ulaya au marekani
Mpaka ifikie wananchi wanaamua kumoa urais ina maana kuna sera atakuwa ameziwasilisha kwa wananchi na wakazikubali. Pia kama nchi kuna uwezekano wa kuweka sera ambazo ni lazima kwa kila rais atakayebahatika kuwa madarakani kuzitekeleza. (mfano wa nchi ya Marekani)Hapo Mzee Nyerere alichemka
Swali lilikuwa huyo mgombea binafsi akishinda atatekeleza sera gani? sababu hana sera yeyote anakuwa tu kama mlevi tu anayetoa tu ahadi hewa za majukwaani