Mzee Mwinyi: Unaibu Waziri Mkuu haupo kwenye Katiba yetu

Mzee Mwinyi: Unaibu Waziri Mkuu haupo kwenye Katiba yetu

kipumbwi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
3,162
Reaction score
9,073
Nimenukuu maneno ya rais Mstaafu kutoka kwenye kitabu chake ambapo alikua akizungumzia suala la yeye kunteua Lyatonga Mrema kama Naibu Waziri Mkuu. Mwinyi amekiri bayana kua cheo hicho hakipo kwenye katiba.

Kwa muktadha huo,je Rais Samia hana washauri wazuri ama haoni kua amevunja katiba?!

Kama amevunja, hakuna taasisi za kupinga uvunjaji huo wa katiba?!!

Soma nukuu hiyo-
IMG-20230917-WA0017.jpg
IMG-20230916-WA0088.jpg

Je Waziri Mkuu aliyepo anapwaya hivyo ilibidi apate msaidizi? Je na kumtoa madarakani ni kuvunja serikali na ingebidi kuitisha uchaguzi?!

Angefanyeje ili kumtoa?!! Angem-Ndugai tu, naam,kama spika Ndugai alivyoachia kiti baada ya Mama kutoa hutuba fulani na kufuatiwa na sauti za chawa fulani chamani na hatimae Ndugai akaitisha press na kulia "nimekosa Mimi,nimekosa Mimi" na akatangaza kuhiuzulu. Aliepo nafikiri angesema tu kwa sababu za kitabibu!!

Je Mama amesigina katiba kwa kuteua Naibu Waziri Mkuu kwa maslahi ya Taifa ama maslahi binafsi?!!

Nafikiri sababu kuu pia ni maandalizi ya uchaguzi wa 2025. Kivipi?!! Waziri Mkuu aliyepo hana mvuto mkubwa wa kisiasa na hata Makamo wa Rais aliyepo hana kabisa mvuto mkubwa wa kisiasa japo anatokea kanda ya ziwa na amekua mbunge na waziri kwa muda mrefu.

Kwa nini Biteko awe Naibu Waziri Mkuu?!! Ili angalau upate kura nyingi za uraisi Kanda ya Ziwa inabidi uwe na strong base ya watu wanaokubalika kanda ya Ziwa. Kwneye wabunge wote wa CCM wanaotoka kanda ya Ziwa,wenye walau ushawishi na usafi nafikiri ni Mh Angela Mabula na Mheshimiwa Biteko.

Kumuandaa makamo wa Raisi Mpya anaetoka kanda ya ziwa mbadala wa Mpango ndio lengo la teuzi hiyo.

Kwa Biteko imebidi maana ni mwanaume na Mabula ni mwanamke, haiwezekani kwenda kwenye uchaguzi na Rais Mwanamke na Makamu mgombea pia mwanamke.

Nafikiri ndio maana Biteko akaumbiwa hicho cheo tata kikatiba na nafikiri hata ulinzi anaopata unaonekana kua ni asset kwenye next project.
 
Nimenukuu maneno ya rais Mstaafu kutoka kwenye kitabu chake ambapo alikua akizungumzia suala la yeye kunteua Lyatonga Mrema kama Naibu Waziri Mkuu. Mwinyi amekiri bayana kua cheo hicho hakipo kwenye katiba.

Kwa muktadha huo,je Rais Samia hana washauri wazuri ama haoni kua amevunja katiba?!

Kama amevunja, hakuna taasisi za kupinga uvunjaji huo wa katiba?!!

Soma nukuu hiyo- View attachment 2753068View attachment 2753069
Ilikuwa ni ngumu kumtumbua katelefoni sasa njia rahisi zaidi bila kujali katiba ilikuwa ni kumtafutia msaidizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unataka Mh. Rais aje aandikeje kitabu chaku kuwa alijutia wapi?
Make Marehemu Mkapa nae alikuwa anajutia ubinafsishaji wa viwanda.

Kwa hiyo Mkuu una maanisha kuq Mama Samia amefanya uteuzi wa kusigina katiba ili apate cha kuja kuandika sehemu ya kujutia?!!

Kwa hiyo ameona adurufu makosa ya Mzee Mwinyi?!! Yaani miaka 30 iliyopita rais Mwinyi alivunja katiba kwa kosa hilo,tunalirudia tena baada ya miaka 30?!!

Je kiapo wanachokula cha kulijda na kuihifadhi katiba kina mantiki gani?!!
 
Ilikuwa ni ngumu kumtumbua katelefoni sasa njia rahisi zaidi bila kujali katiba ilikuwa ni kumtafutia msaidizi

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli Katelephone anapwaja na kumtoa madarakani ni kuvunja serikali na ingebidi kuitisha uchaguzi!!

Angefanyeje ili kumtoa?!! Angem-Ndugai tu (kumlazimisha ajiuzulu) naam,kama spika Ndugai alivyoachia kiti.

Je Mama amesigina katiba kwa kuteua Naibu Waziri Mkuu kwa maslahi ya Taifa ama maslahi binafsi?!!

Nafikiri sababu kuu pia ni maandalizi ya uchaguzi wa 2025. Kivipi?!! Waziri Mkuu aliyepo hana mvuto mkubwa wa kisiasa na hata Makamo wa Rais aliyepo hana kabisa mvuto mkubwa wa kisiasa japo anatokea kanda ya ziwa na amekua mbunge na waziri kwa muda mrefu.

Kwa nini Biteko awe Naibu Waziri Mkuu?!! Ili angalau upate kura nyingi za uraisi Kanda ya Ziwa inabidi uwe na strong base ya watu wanaokubalika kanda ya Ziwa. Kwneye wabunge wote wa CCM wanaotoka kanda ya Ziwa,wenye walau ushawishi na usafi nafikiri ni Mh Angela Mabula na Mheshimiwa Biteko.

Kumuandaa makamo wa Raisi Mpya anaetoka kanda ya ziwa mbadala wa Mpango ndio lengo la teuzi hiyo.

Kwa Biteko imebidi maana ni mwanaume na Mabula ni mwanamke, haiwezekani kwenda kwenye uchaguzi na Rais Mwanamke na Makamu mgombea pia mwanamke.

Nafikiri ndio maana Biteko akaumbiwa hicho cheo tata kikatiba na nafikiri hata ulinzi anaopata unaonekana kua ni asset kwenye next project.
 
mnasifia ujinga kama raisi Mwinyi with all due respect angewajibika/shwa kwa kuvunja katiba huu ujinga wa sasa hivi usingejirudia, sasa hivi kafanya vile vile kwa sababu anajua hakuna consequenses zozote au mnafikiri hawajui kwamba wanavunja katiba yetu? btw Mzee Mwinyi ni mmoja kati ya maraisi bora kuwahi kutokea na Muislamu kwa maana halisi ya Uislamu falsafa ya dini ameielewa na ameeishi no kiburi, no majigambo, no sadism no wonder mtoto wake ni raisi leo amelelewa vizuri au mnaona future ya mwamedi nchi hii beyond mama yake ?
 
Mkuu, kipumbwi tunaomba soft copy ya hicho kitabu uweke hapa na cha Mkapa kama unacho

Usiogope weka, Mwinyi ana hela nyingi hategemei mauzo ya hiko kitabu, pesa zetu wamekula sana

Mkuu wanangu unataka wakale wapi?!! Tuma hela ya wakili kabisa ndio tuone la kufanya!!

Japo hakika Mzee Mwinyi muungwana, nakumbuka tafrija moja ya kidini,kijana mmoja baradhuli akamchapa kibao Mzee wetu hadharani. Baadae akamsamehe, imagine angekua marehemu Magufu, nafikiri angevua shati amuonyeshe kwa nini aliitwa Bulldozer!!
 
Hatua huchukuliwa kwa nia.Nia yetu kumsamehe.
Nasema na kurudia, hakuna nia njema katika uvunjaji wa katiba!
Ukishavunja Katiba umefanya dhambi kubwa isiyosameheka!
Ukishavunja Katiba huna uhalali wowote wa kuendelea kusimamia sheria!
Ukishavunja Katiba huna uhalali wowote wa kuendelea kuliongoza taifa!
Kuvunja Katiba ya nchi uliyoapa kuiheshimu, kuilinda na kuitetea, ni uhaini!
 
Nasema na kurudia, hakuna nia njema katika uvunjaji wa katiba!
Ukishavunja Katiba umefanya dhambi kubwa isiyosameheka!
Ukishavunja Katiba huna uhalali wowote wa kuendelea kusimamia sheria!
Ukishavunja Katiba huna uhalali wowote wa kuendelea kuliongoza taifa!
Kuvunja Katiba uliyoapa kuiheshimu, kuilinda na kuitetea, ni uhaini!
Yesu aliivunja Sabato.Ahukumiwe au aitwe Bwana wa Sabato?
 
Nimenukuu maneno ya rais Mstaafu kutoka kwenye kitabu chake ambapo alikua akizungumzia suala la yeye kunteua Lyatonga Mrema kama Naibu Waziri Mkuu. Mwinyi amekiri bayana kua cheo hicho hakipo kwenye katiba.

Kwa muktadha huo,je Rais Samia hana washauri wazuri ama haoni kua amevunja katiba?!

Kama amevunja, hakuna taasisi za kupinga uvunjaji huo wa katiba?!!

Soma nukuu hiyo- View attachment 2753068View attachment 2753069
Je Waziri Mkuu aliyepo anapwaya hivyo ilibidi apate msaidizi? Je na kumtoa madarakani ni kuvunja serikali na ingebidi kuitisha uchaguzi?!

Angefanyeje ili kumtoa?!! Angem-Ndugai tu, naam,kama spika Ndugai alivyoachia kiti baada ya Mama kutoa hutuba fulani na kufuatiwa na sauti za chawa fulani chamani na hatimae Ndugai akaitisha press na kulia "nimekosa Mimi,nimekosa Mimi" na akatangaza kuhiuzulu. Aliepo nafikiri angesema tu kwa sababu za kitabibu!!

Je Mama amesigina katiba kwa kuteua Naibu Waziri Mkuu kwa maslahi ya Taifa ama maslahi binafsi?!!

Nafikiri sababu kuu pia ni maandalizi ya uchaguzi wa 2025. Kivipi?!! Waziri Mkuu aliyepo hana mvuto mkubwa wa kisiasa na hata Makamo wa Rais aliyepo hana kabisa mvuto mkubwa wa kisiasa japo anatokea kanda ya ziwa na amekua mbunge na waziri kwa muda mrefu.

Kwa nini Biteko awe Naibu Waziri Mkuu?!! Ili angalau upate kura nyingi za uraisi Kanda ya Ziwa inabidi uwe na strong base ya watu wanaokubalika kanda ya Ziwa. Kwneye wabunge wote wa CCM wanaotoka kanda ya Ziwa,wenye walau ushawishi na usafi nafikiri ni Mh Angela Mabula na Mheshimiwa Biteko.

Kumuandaa makamo wa Raisi Mpya anaetoka kanda ya ziwa mbadala wa Mpango ndio lengo la teuzi hiyo.

Kwa Biteko imebidi maana ni mwanaume na Mabula ni mwanamke, haiwezekani kwenda kwenye uchaguzi na Rais Mwanamke na Makamu mgombea pia mwanamke.

Nafikiri ndio maana Biteko akaumbiwa hicho cheo tata kikatiba na nafikiri hata ulinzi anaopata unaonekana kua ni asset kwenye next project.
kipumbwi karibu mkwaja hapa tunywe supu ya Jodari
 
Back
Top Bottom