Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Waziri mkuu hachaguliwi anateuliwa, baraza huwa linavunjwaLowasa ajiuzulu yeye mwenyewe na kutoa nafasi hiyo kwa Rais kunteua waziri Mkuu mpya.
Je katiba inasema kua Rais anaweza kumfuta kazi waziri Mkuu bila serikali kuanguka na kulazimika uchaguzi Mkuu mpya?!! Kumbuka waziri Mkuu ndio mtendaji Mkuu sa serikali bungeni.