Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulikuwa na simu za kupitia kwa operator postal na simu ambazo ndo za mezaniTufafanulie alimpigiaje ,simu wakati miaka kulikuwa hakuna simu za mkononi?
Huyu ndiye aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Shinyanga(nadhani na M/Kiti wakati wa kofia mbili) kipindi ambacho watu walifungiwa kwenye kàchumba kadogo na wakafa kwa kukosa hewa. Ikabidi yeye, waziri wa mambo ya ndani(Rais mstaafu, Mzee Mwinyi), afisa usalama wa wilaya(Lyatonga Mrema), Igp (Philemon Mgaya) na wengine wakajiuzulu nyadhifa zao. Philemon Mgaya ndiye IGP aliyekaa kwenye nafasi hiyo kwa muda mfupj sana baada ya kukumbwa na kadhia hiyo.Huyu ni nani ?Ndo namsikia Leo aisee.RIP mzee.
RIP mzee wa kusimamia nidhamu. Aliyeitupa taarifa hiyo ni mwenyekiti wa CCM wa wakati huo baada ya kutishwa na vyombo vya intelijensia kuwa mgombea mmojawapo maarufu angehamia upinzani kama jina lake lingeondolewa. Pathetic!!Inasemekana wakati wa kujadili wagombea urais katika kamati kuu taarifa aliyokuwa ameiandaa ilitupwa kapuni, na hatimaye sekretarati yote ilifungiwa virago baada ya JK kuukwea wenyekiti wa CCM.
duh! ama kweli..ni kizazi cha awali cha serikali!! hawa walikuwa ''waadilifu'' na wakabakia kama walivyo. mungu atawalipaHuyu ni nani ?Ndo namsikia Leo aisee.RIP mzee.
Mwanasiasa maarufu mbona mm Ndio namsikia Leo labda kwakuwa mm Sio mwanasiasa
Huyo ndiye aliyeanza kuiuza CCM kwa watu maarufu na kutokea hapo CCM ilianza kuwa dhaifu na fedha kuanza kutawala siasa zetu.RIP mzee wa kusimamia nidhamu. Aliyeitupa taarifa hiyo ni mwenyekiti wa CCM wa wakati huo baada ya kutishwa na vyombo vya intelijensia kuwa mgombea mmojawapo maarufu angehamia upinzani kama jina lake lingeondolewa. Pathetic!!
Kwani alieleza kwamba alimpigia simu yako Mkononi?Tufafanulie alimpigiaje ,simu wakati miaka kulikuwa hakuna simu za mkononi?
Kama mpaka anakufa alikuwa hajalipwa mafao yake basi tutegemee laana kwa hii nchi yetu.
Mzee amepumzika kwa Amani.