Uchaguzi 2020 Mzee Shomari: Uchaguzi wa mwaka huu ni kama wa mwaka 1995 ila mwaka huu mgombea wa CHADEMA ameingizwa chaka

Spika Six na Spika Anna Makinda waliruhusu mijadala bungeni kwa maslahi mapana.
Pammoja wapinzani kuzoa viti vingi 2015 kulinganisha na huko nyuma lakini Spika Ndugai aliwadhibiti 99.9 %hakuwapa nafasi yoyote ya kutupa makombora mazito.
 
hali ukiendelea kubwabwaja utashtukizia Lisu yuko ikulu
 
Kuna kura za marehemu na ambao hawatapiga kura ndio wanazojivunia.
 
Ni aibu mgombea urais kuzua ufisadi ambao hauna ushahidi, kama kudai uwanja wa ndege Chato na ndege za ATCL zimenunuliwa kifisadi bila kuweka ushahidi. Sisi wapiga kura tulitarajia Lissu aweke nyaraka za ukweli juu ya ufisadi.
Au huelewi maana ya ufisadi ndugu? Naona unatokwa povu tu bure.
Maamuzi ya kujenga uwanja wa ndege wa Chato ulipitishwa na bunge gani?

Tenda ya ujenzi wa uwanja huu ilitangazwa?

Fedha za ujenzi wa uwanja huu zilipitishwa na bunge lipi?

Basi huu ndiyo ufisadi wenyewe. (Nenda kajielimoshe uelewe maana ya UFISADI, mimi sitakuambia).
 
Ahaaa,unachekesha sana boss. Bajeti kuu ikishapitishwa basi ujue hiyo pesa inaweza kutumika kwa shughuli yoyote. Ndio maana kuna pesa za uhuru zinajenga hospital Dodoma.

Kama huo uwanja ulijengw bila kufuata taratibu, kwa nini halmashauri ya mji wa Geita ilibariki ujengwe?
 
Slaa alikuwa anasema ufisadi anaweka naushahidi mezani zitto alikuwa anasema ufisadi anaweka naushahidi mezani Sasa Lisu huu ufisadi wake ambao hauna ushahidi no upi? Kama unabeti vilee
 
mbona hueleweki unakuwa kama CHANGU WA UWANJA WA FISI....
Mbona kauli hii ni yako na si ya hako Kazee uchwara kalikokunywa maji ya bendera
 
mbona hueleweki unakuwa kama CHANGU WA UWANJA WA FISI....
Mbona kauli hii ni yako na si ya hako Kazee uchwara kalikokunywa maji ya bendera
Wewe umejua vipi? Huwa unakuja kunywa kahawa kwenye kijiwe chetu? Kwa us..ulionao unatakiwa mtu akunywee alikasusu.
 
Kwani mkulima hawezi kuuza korosho zake msumbiji? Ni mfumo tu. Na akiuza msumbiji haina maana kuwa serikali itakosa mapato - ni utaratibu tu. Anafika mpakani analipa kodi sahihi.
Juu ya ufisadi, anachodai lisu ni mikataba ya ununuzi wa ndege; tuna sheria ya manunuzi, je ilifuatwa? Kama haikufuatwa, kwa nini, nini kinafichwa? Uwanja wa Chato hivyo hivyo, kampuni iliyojenga iliteuliwa katika mchakato wa wazi? - kama si hivyo kwa nini?
Majibu kwa lisu ni rahisi - ni kumweleza kuwa sheria ya manunuzi ya uma ilifuatwa - basi
 
Huyo mzee naona amezeeka zaidi akili kuliko mwili.

Mtu yeyote mwenye akili anajua kabisa uchaguzi wa safari hii hakuna mgombea atakayeshinda kwa zaidi ya 70%.

Duniani kote, kama kuna uchaguzi wa kidemokrasia, hakuna ambaye huwa anashinda kwa zaidi ya 80. Ni kwenye tawala za kidikteta tu ndiko ambako Rais huweza kupata ushindi wa zaidi ya 90%, ambayo kwa ujumla ama huwa ni matokeo ya wizi wa kura au hutokana na kutangaza matokeo tofauti na kuwa zilizopigwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unataka uthibitisho na ushahidi gani zaidi ya report za CAG?
 
NA WEWE UKAKUBALI KABISA KUINGIZWA CHAKA NA MZEE SHOMARI?
KWANI MZEE SHOMARY ALIONA UCHAGUZI WA MWAKA 1995 WAGOMBEA WAKIKATWA KWA MADAI YA KUTOKUJAZA FOMU VIZURI KAMA MWAKA HUU?
 
Na
Kwa hiyo unamdharau? Mbona Lissu anadegree lakini anaropoka pumba? Hivi unaweza kuruhusu korosho na mazao ya biashara yakauzwe nje?
Natumai wewe ndiye mzee Shomari mwenyewe,maana hoja ya mazao umekomalia kwelikweli.Ni ndoto yetu Sisi wakulima na wafanyabiashara wa mazao kuuza nje ya nchi ili tupate faida na fedha za kigeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…