Mzee Tashrif kafariki leo na kazikwa leo. Waislam wanajua heshima, umuhimu na maana ya mazishi

Huyo hajui lolote kama wazee wetu waliweza kumtambua mtu alie kufa watakuwa madaktari wasema amekufa kumbe yuhai?mtu akisha zima Kawa mzoga tu
 
Itaisha aridhi ya kujengea sio ya kuzikia
 
Mtu akisha kufa Kawa mzoga tu tangu lini ukawa na thamani
 
Sio Imani Yao Mila za mwarabu. Afrika kiasili na kimila lazima watoto wake kwanza na alikuwa anahifadhiwa ndani kwa kukandwa na chunvi
Watoto wao wakija wanamrudishia roho?bora ya mila za kiarabu kuliko mila za kishenzi za kutunza mzoga ndani na kuanza kuanga tangu lini mzoga ukawa na thamani
 
Mzee haijalishi kinachotakiwa marehemu kaifadhiwa na ndugu zake wamekuja wote na wameshiriki kuuga mwili wa marehemu ndugu yao,Waislam ni waroho sana.
Mtu akisha kufa Kawa mzoga kama wana mpenda yanini kumzika?si waishi nae ndani basi mzoga hauna thamani hapa tunajifariji tu
 
Wewe mbumbumbu ukituma mtoto wako dukani ukamwambia fanya haraka wakati huo ni saa 1 asubuhi akarudi jioni atakuwa kafanya haraka mambo ya uisilamu waachie waisilamu wewe shikama na hao wenzio unao dhani ukiwa nao tofaoti utoishi
 
Wakristo mna tatizo la msingi unahitaji kusaidiwa.
 
Narudia tena Upumbavu na Ungumbaru ni kuamini kuwa Maiti ikicheleweshwa kuzikwa inapata maumivu mpaka itakapozikwa

Huo ni Upumbavu na Dini inayoaminisha watu huo Upumbavu ni Dini ya kipumbavu

Watakan...kata
 
Huo utoto hata babu zetu waliweza kumtambua mtu alie kufa sembuse wataalam wa afiya?
utaliwa wewe na hao wataalamu wako. Hujawahi sikia Mtu anapasuliwa kichwa badala ya goti? mixer wauguzi Kubaka wagonjw?
 
Watoto wao wakija wanamrudishia roho?bora ya mila za kiarabu kuliko mila za kishenzi za kutunza mzoga ndani na kuanza kuanga tangu lini mzoga ukawa na thamani
Ninyi si mnamwahishia yule jamaa wenu anayechapa mizoga viboko makaburini?
 
Hivi kufuga ndevu na kupaka hinna au wanja pia ni sunnah ?

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Ni sunna. Lakini, sipendi binafsi nikiona mtu kapaka marangi kubadili nywele au ndevu sijui namuonaje. Namuona kama mtu mshenzi, mshenzi. Ndevu asili yake ni weusi au weupe. Hayo marangi mengine yanakirihisha.

Mfano Sheikh Kishki anapaka wanja na inampendeza. Jamii za zamani wanaume walipaka wanja. Hakuna ubaya juu ya hilo kikubwa inategemea na haiba yako kwa wakati tulionao.

Jambo lingine ambalo nalipinga ni sunna ya kupaka hina kwa mwanaume kwa jamii ya sasa hapana kwa kweli. Hizo mila za kiarabu za waarabu wa kale tuwaachie wenyewe wa sasa kama wataziendeleza au la.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…