Tundu hana namana ya kuchomoka kwenye hiyo greyzone, sasa ajiandae kisaikolojia, maana zone aliyofika sio shwari kbsa. Kweli kuujua undani wa mtu ina gharama. Aje atuombe radhi watz tutamuelewa.
Akuombe radhi nani mwehu kama wewe?Tundu hana namana ya kuchomoka kwenye hiyo greyzone, sasa ajiandae kisaikolojia, maana zone aliyofika sio shwari kbsa. Kweli kuujua undani wa mtu ina gharama. Aje atuombe radhi watz tutamuelewa.
Hakuna haja ya maombi; Lisu ni muongo tangu alipokatiwa mrija wa makampuni ya madini!
Tundu Lissu amewahi kutoa taarifa zisizo sahihi.@richard
Umeandika utumbo Mwingi sana.
Nani amekuwa misinformed na Lissu hapa ?
Na kwanini wenye correct information wasiitoe na ku clear atmosphere ?
Badala ya kuanza kumlaumu Lissu why Mzee Baba asitoke hadharani kutuliza ha watu mnaosema wamepatwa na Taharuki ?
How much does it cost ?
Msitupangia wa kumuamini
Mitandao haipo kwa ajili ya kupotosha na kueneza taharuki.Tumebaki na MITANDAO tu ambayo angalau inathubutu kuhoji, kutoa mawazo mbadala, inakosoa, hayo mnayofanya serikali. BUNGE mmeua. Limekuwa NEC ya CCM. Vyombo vya habari mmevikaba koo. Vingine vimejifia kimyakimya. Upinzani ni kama haupo. Sasa mnatuwinda mitandaoni. Baadaye iweje?
Thinking capacity yako ni ndogo sana huwezi kuelewa.Habari nzima ni upuuzi na ujinga mtupu.
Kama kila mtu ataleta hadithi za vijiwe vya kahawa na vya kusafishia viatu, hapa jukwaani, jukwaa halitakuwa la greater thinkers tena, litakuwa jukwaa la wajinga na wambeya.
Siku nyingine ukisikia umbeya kutoka kijiwe kimoja, beba huo umbeya wapelekee wambeya wa kijiwe kingine. Hili jukwaa lililenga mijadala ya watu wenye uelewa kwaajili ya kujadili hoja na siyo umbeya.
Anamlisha mama yako!Kwan uko anakoishi unamlisha wewe au babako?? kwenda zako mwehu mkubwa wewe
Aombe radhi kwa lipi? Halafu unaposema atuombe radhi watz, kwani yeye siyo mtz? Mbona aligombea na Urais mwaka jana? Au watz ni wanaSISIEM tu?Tundu hana namana ya kuchomoka kwenye hiyo greyzone, sasa ajiandae kisaikolojia, maana zone aliyofika sio shwari kbsa. Kweli kuujua undani wa mtu ina gharama. Aje atuombe radhi watz tutamuelewa.
Hajafa kafungua macho alfajirii baada ya kuwa amekata kauli toka tarehe 4/3 ina maana zaidi ya siku kumi kuwa kwenye machine hajitambui, haonekani kuwa timamu ....japo watalazimisha aanze kutoa maagizo ,kwenye nchi inayofuata katiba angehitaji miezi kadhaa ya kuangalia afya yake ....Sijui kwa nini mnapenda kupoteza kuzungusha na kupotezea mambo ya muhimu kwa mambo yasio na tija?
Maswali yalioulizwa na yanayoendelea kuulizwa ni mawili tu;
1. Raisi yuko wapi?
2. Ana hali gani?
Wahusika wajibu haya maswali tusipotezeane muda!
Lini yamekuwaga ya ukweli? Na kwanini muishi kwa hisia/tetesi?Ombeni maneno ya Lissu yawe uongo! Hizo zingine ni porojo tu!
Wanaongezewa na nani ndugu yani wao hawahusiki wanajikuta ela hizi hapa? Halafu kusema maandiko mataka fujo sio matusi kweli? Ukimwita binadamu mwenzio mbwa mbona linakuwa tusi? We utakuwa una shida ya kiswahili sio siri kabisa.We hujui hicho kiswahili kabisa, angalau hata mimi nina ahueni, nani katukana Bible, kupingana na Bible sio matusi mjomba bali ni upana wa kifikra, haijazaliwa bali imetengenezwa na wazawa wa hii dunia.
Hujasikia mafisadi wakiongezewa masandarusi ya fedha kwenye account zao kutoka kwenye fedha za wanyonge?