Mzee Uledi na Msafisha Viatu wamuonya Tundu Lissu vita alioanzisha imeingia kwenye "Grey Zone", kutoka itakuwa shida

Mzee Uledi na Msafisha Viatu wamuonya Tundu Lissu vita alioanzisha imeingia kwenye "Grey Zone", kutoka itakuwa shida

Hakuna cha wasafisha viatu wala kijiwe cha tandamti ni uhuniuhuni Tu wa kilumumba umeuwasiliasha Kwa mlango wa nyuma
 
Lini Tundu Lissu aliongea Uongo na kudhibitika?
Toka nilipomfahamu Lissu hoja zake hazijawai kjjibiwa na Badala yake nguvu kubwa hutumika kumchafua na kumwita mzushi, mwongo nk.

Kwa sasa Lissu ameuliza swali moja tu "Yu wapi Rais wa Tanzania?"

Badala ya kutoa majibu mimi naona mapovu ndio yanamwgika
 
Nimesoma sijafika hata katikati nimeshikwa na kimuhe cha kumjibu mleta mada. Hiyo "GREY ZONE" hata iwe black, LISSU Level nyingine bro.... mtabakia na maneno makavu hapo Lumumba.
haya Sasa ,rais wenu ndo wamemuajiri balozi wa tabia za sodoma na gomola.naamini hata ww wangekuteua hiyo kazi ungeikataa,si ndio mkuu.
 
Jana ameanza kurukaruka tena anasema rais ni mwenye mamlaka makubwa na blahblah za kutoshaa

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu John Pombe Joseph Magufuli
Nani alikuambia Mungu anabariki maibilisi .
 
Kwanini mkilala mkiamka mnahangaika na LISU, ni kwa nini lakini nyie vijana wa LUMUMBA?. Kwa nini msihangaike kujua Rais wetu yuko wapi?.
Maccm wanahangaika sana na TL. Yeye hajasema kuwa JPM kafa ila anahoji yuko wapi? Ni mzima au anaumwa? Kwa hiyo kosa la TL ni kuuliza aliko JPM?
 
Haki za wezi ni korokoroni, haki ya mafisadi ni kufirisiwa ama kunyang'anywa Kama walivyo nyang'anya wao pia... Jino kwa jino, hakuna cha aliyenacho ataongezewa, maneno yanayorasimisha wizi kwenye the so called maandiko matataka-(tifu) fujo.

Go Magufuli, tutaelewana tu mpaka nchi nzima wote tuwe angalau bila bila... Ni mwendo wa Fair play...
Usiitukane bible kisa uelewa wako mfupi hata kwa lugha yako nwenyewe ya kiswahili. Mwizi anajiongezea au anaongezewa? Yani unaelewa hata tofauti ya kuongezewa na kujiongezea kweli?
 
Pembe la ng'ombe halifichiki buda, waziri mkuu sio fala kutamka yale aliyotamka tena kwa kejeli. Muwe mnasoma hata code watu wazima na wenye mamlaka wakizungumza. Hata kama alikuwa na tatizo, kwa sasa atakuwa fit ndio maana waziri mkuu akalihakikishia taifa.

Achana na viongozi wa taasisi hewa, hazina hata ofisi.
Mpaka wawe na akili hizo mkuu za kusoma codes,

Wana chadema wote akili zao ni kama za kuku tu
 
Achana na story za hao wazee waliofiriska kiakili..
Hakuna mtu wa kumuweka TL kwenye Grey Zone kwa namna yoyote ile..
Historia ya TL kuruka viunzi inazungumza hivyo..
Kama unabisha L, muulizeni yule jamaa anaepumlia mashine.
Lisu kabla ya uchaguzi,: mimi ni mfu, siogopi chochote, mwaka huu hapatatosha.

Lisu baada ya uchaguzi: niko ubalozini kama mkimbizi nimepigiwa simu za vitisho,

Baada ya siku mbilo huyo mbio ubelgiji.


Huyo ndio Lisu.
 
Usiitukane bible kisa uelewa wako mfupi hata kwa lugha yako nwenyewe ya kiswahili. Mwizi anajiongezea au anaongezewa? Yani unaelewa hata tofauti ya kuongezewa na kujiongezea kweli?
We hujui hicho kiswahili kabisa, angalau hata mimi nina ahueni, nani katukana Bible, kupingana na Bible sio matusi mjomba bali ni upana wa kifikra, haijazaliwa bali imetengenezwa na wazawa wa hii dunia.

Hujasikia mafisadi wakiongezewa masandarusi ya fedha kwenye account zao kutoka kwenye fedha za wanyonge?
 
Achana na story za hao wazee waliofiriska kiakili..
Hakuna mtu wa kumuweka TL kwenye Grey Zone kwa namna yoyote ile..
Historia ya TL kuruka viunzi inazungumza hivyo..
Kama unabisha L, muulizeni yule jamaa anaepumlia mashine.
Hivi jamaa ameenda leo kanisani kweli?
 
unyama amefanyiwa na chama chake.picha tunaiona.siri iliyofichwa kwa code za kiapo kikali.
Kwahiyo afanyiwe ni chama chake nyie ccm na policcm wakekimya?

Maombi ya kumuombea yalipigwa marufuku ni chama chake?

Siku ya tukio chama chake kiliongea na walinzi WA eneo lá hapo waondoke na cctv kutolewa kiliamua chama chake?

Kwahiyo unatakakusema wanachama WA ccm walipigwa marufuku ni chama chake wasiende kumuona alikokuwa an apatia matibabu?

Kwahiyo yule aliyefukuzwa ccm kwa sababu ya kwenda kumuona lissu alifukuzwa ni chama chake?

Makubwa haya.
 
Tundu hana namana ya kuchomoka kwenye hiyo greyzone, sasa ajiandae kisaikolojia, maana zone aliyofika sio shwari kbsa. Kweli kuujua undani wa mtu ina gharama. Aje atuombe radhi watz tutamuelewa.
Angekuwa na akili timamu angeshaomba radhi tayari, lakini lisu hana akili timamu, uwezo wake wa kuelewa mambo ya kawaida ya maisha ni zero, hawezi kuomba radhi hata siku moja.
 
Angekuwa na akili timamu angeshaomba radhi tayari, lakini lisu hana akili timamu, uwezo wake wa kuelewa mambo ya kawaida ya maisha ni zero, hawezi kuomba radhi hata siku moja.

Unaakili timamu wewe.
Simple like that.🤓🤓🤓🤓
 
Kwenye maisha ukimywa ni jambo zuri sana. Tatizo ukijadai muongeaji ongeaji. Waswahili husema mdomo uliponza kichwa, acha apambane na hali zake.
 
Mleta mada mm naona hiyo grey zone itakuwa ya kawaida kwa lissu. Kuna grey zone zaidi ya risasi zile zote mwilini mwake? Kweli anaweza ogopa jambo jingine?

Hata hivyo hao wazee walikusimulia mengi.
Mkuu kale pilau lako , ufurahie maisha yako vizuri na walio kuzunguka. Hii nchi Mungu ndio ajuae mioyo ya watu wake, ni tafrani tupu.
 
Back
Top Bottom