Mzee Uledi na Msafisha Viatu wamuonya Tundu Lissu vita alioanzisha imeingia kwenye "Grey Zone", kutoka itakuwa shida

Mzee Uledi na Msafisha Viatu wamuonya Tundu Lissu vita alioanzisha imeingia kwenye "Grey Zone", kutoka itakuwa shida

Akili zikizidi ukasifiwa sifiwa sanaa ukaanza kujifanya ww una akili za ziada hadi mambo ya kawaida unataka kutumia akili zisizokuwepo. Ndo alichofanya TL sasa.

Unakuwa wa kwanza kutoa taarifa raisi yupo Nairobi sijui India kwanini? Mbio mbio za kutangulia kutaka kuuonyesha uma kuwa upo informed na unajua ni makosa makubwa sana.

Tl bora angeishia kuuliza tu raisi yupo wapi? Tena kwa sababu hakukubali matokeo angeuliza JPM yupo wapi? Halafu akanyamaza ila alichokifanya ni kosa.
Inapaswa ukiwa na akili, basi tafuta hekima kwa nguvu sana.

Maana kuwa na akili bila hekima ni janga pia
 
Habari nzima ni upuuzi na ujinga mtupu.

Kama kila mtu ataleta hadithi za vijiwe vya kahawa na vya kusafishia viatu, hapa jukwaani, jukwaa halitakuwa la greater thinkers tena, litakuwa jukwaa la wajinga na wambeya.

Siku nyingine ukisikia umbeya kutoka kijiwe kimoja, beba huo umbeya wapelekee wambeya wa kijiwe kingine. Hili jukwaa lililenga mijadala ya watu wenye uelewa kwaajili ya kujadili hoja na siyo umbeya.
 
Kosa la Lissu n nini? Maana habari zote zimetoka kwenye media Kenya. Kila habari iwe nzuri au mbaya lazima ijulikane.
 
Jana ameanza kurukaruka tena anasema rais ni mwenye mamlaka makubwa na blahblah za kutoshaa

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu John Pombe Joseph Magufuli
Mpaka sasa unafahamu Jiwe alipo?
 
Hao wazee wa Pwani watakuwa wanajua kinachojiri.Jiwe amepata patashika punde tu alipotangaza kulisambaratisha Jiji la Dar es Salaam bila kuwashirikisha hawa wazee.Labda tuwaulize hao wazee wamemfanya nini Jiwe?
 
Bila rais wetu kuonekana hadharani bado iko shida, mtaani watu wameanza kunong'ona...
Ni kweli kwa sasa habari ipo viral mtaani, jana kuna rafiki yangu si mtu wa kwenye mitandao sana

alinipigia simu akaniuliza mzee: eti naskia mzee anaumwa sana

Nikamwamuuliza mzee gani

Akanambia si mzee wa kazi na wewe, kicha akaongeza naskia eti yupo india

Nikamjibu tu eeh kaka tuchat nikakata simu
 
Ni ngumu sana kucheza na siasa za mitandao na ukikosea mahala ndo inakuwa mwisho wako kisiasa.

Donald Trump ni mfano mzuri tu, alikotoka na aendako kisiasa sote twafahamu.

Ni kweli twaishi ili tufe lakini staha, ujuvi na namna ya kuogelea kwenye maji yalotulia ni jambo la busara.

Kuna msemo wa zamani kidogo wa kiingereza wasema "Still Waters runs deep".

Ndo maana sisi binadamu watakiwa kuingiza mguu mmoja tu kufanya tathmini.
Trump angekuwa Tz, mgekuwa mnasema mi 4 tena.
 
Hao wazee wa Pwani watakuwa wanajua kinachojiri.Jiwe amepata patashika punde tu alipotangaza kulisambaratisha Jiji la Dar es Salaam bila kuwashirikisha hawa wazee.Labda tuwaulize hao wazee wamemfanya nini Jiwe?
Wataka kusemaje hapa?
 
Tundu hana namana ya kuchomoka kwenye hiyo greyzone, sasa ajiandae kisaikolojia, maana zone aliyofika sio shwari kbsa. Kweli kuujua undani wa mtu ina gharama. Aje atuombe radhi watz tutamuelewa.
Radhi kwa lipi
 
Ni ngumu sana kucheza na siasa za mitandao na ukikosea mahala ndo inakuwa mwisho wako kisiasa.

Donald Trump ni mfano mzuri tu, alikotoka na aendako kisiasa sote twafahamu.

Ni kweli twaishi ili tufe lakini staha, ujuvi na namna ya kuogelea kwenye maji yalotulia ni jambo la busara.

Kuna msemo wa zamani kidogo wa kiingereza wasema "Still Waters runs deep".

Ndo maana sisi binadamu watakiwa kuingiza mguu mmoja tu kufanya tathmini.
Mkuu nimekuelewa sana tena sana kwa bandiko lako
 
Jana ameanza kurukaruka tena anasema rais ni mwenye mamlaka makubwa na blahblah za kutoshaa

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu John Pombe Joseph Magufuli

Kuna watu wanaona sifa kuleta uzushi. TL amebugi sana. Kwani Rais hata kama anaumwa ni nongwa?
Yeye si binadamu kama wengine? Ila ni dhambi kubwa kutengeneza hii story waliyotengeneza. Wanastahili kuwajibika
 
Back
Top Bottom