Mzee, unapenda movies kali? (Session 04). Weekend hii ruka na hizi!

Mzee, unapenda movies kali? (Session 04). Weekend hii ruka na hizi!

Hahaha pamoja sana boss. Naona kila hatua twasonga...video ya kwanza ilichukua week kupata 100 views, ya pili ikachukua 5 days ila hii ya tatu imechukua masaa tu.


Alafu ntakuja na uzi mwingine wa movies kama si leo kesho. Kaa tayari.

Alafu vipi ulifanikiwa lile tatizo?
Lile bado mkuu sijajaribu tena kudowload kupitia kule, nachukua title naenda kupakua au kuchk kupitia cyrose hd, issue ni kwamba nikishaichak inabidi niifute kusave space, labda kama una any way au source like telegram ambayo naweza nikadownload zikawa stored out bila kuingia direct kwenye galary nitafutahi mkuu
 
Lile bado mkuu sijajaribu tena kudowload kupitia kule, nachukua title naenda kupakua au kuchk kupitia cyrose hd, issue ni kwamba nikishaichak inabidi niifute kusave space, labda kama una any way au source like telegram ambayo naweza nikadownload zikawa stored out bila kuingia direct kwenye galary nitafutahi mkuu
Tumia BGram mzee. Idownload from playstore
 
Naona swali langu mpaka Leo ujajibu
Nilikuuliza movie ipi yenye maudhui Kama "13 Sins" ukitoa nerve na truth or dare?
Tazama. Nilishakujibu mbona kwamba acha nkutazamie.

Ok, waweza tafuta hizi....

1. THE GAME (1997)

2. Game of Death (2006)

3. Black Cadillac (2003)

4. When a stranger calls (2006)
 
Tazama. Nilishakujibu mbona kwamba acha nkutazamie.

Ok, waweza tafuta hizi....

1. THE GAME (1997)

2. Game of Death (2006)

3. Black Cadillac (2003)

4. When a stranger calls (2006)
Asante mkuu Kama utapata zingine nistue.
 
Ndio, mkuu. Hata kama ukidownload movies 200, itabakia huko telegram pasipo kuja kwa gallery labda tu wewe ndo uamue kuihamisha kuileta kwenye gallery ya simu yako. Na pia ukishadownload waweza share tu kwa mwingine wa Telegram hata whatsapp.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama haikai kwenye storage ya simu si ina maana kuiangalia nitaitaji bundle tena?
 
Ahsante sana mkuu.

Ebu Jaribu kutumia KM player. Ikiwa tatizo bado, nijuze.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefanikiwa kwa kuupdate hii vlc,juzi nimeshusha mzigo movie kama 20 hivi ahsante sana kwa wazo lako la ile channel....Mkuu kama una zile series za my secret terrius 2018 na bridal mask utupie mule kwenye channel ya series nazisakaga sana bila mafanikio
 
Sasa kama haikai kwenye storage ya simu si ina maana kuiangalia nitaitaji bundle tena?
Telegram ina cloud storage ambapo inahifadhia vitu vyake. So ww ukishapakua movie, ni kuitazama tu muda wowote utakao huku ikiwa bado haitumii space ya simu yako labda tu ww mwenyewe ukitaka kuhamishia kwenye gallery
 
Telegram ina cloud storage ambapo inahifadhia vitu vyake. So ww ukishapakua movie, ni kuitazama tu muda wowote utakao huku ikiwa bado haitumii space ya simu yako labda tu ww mwenyewe ukitaka kuhamishia kwenye gallery
Sasa kikiwa huko kukiangalia si bando linahitajika? Maana inakuwa kama unastream tena. Ama mimi ndio sielewi
 
Nimefanikiwa kwa kuupdate hii vlc,juzi nimeshusha mzigo movie kama 20 hivi ahsante sana kwa wazo lako la ile channel....Mkuu kama una zile series za my secret terrius 2018 na bridal mask utupie mule kwenye channel ya series nazisakaga sana bila mafanikio
Ahsante mkuu.

Usijali ntalifanyia kazi, hiyo secret terrius naiweka saa hii.
 
Nimefanikiwa kwa kuupdate hii vlc,juzi nimeshusha mzigo movie kama 20 hivi ahsante sana kwa wazo lako la ile channel....Mkuu kama una zile series za my secret terrius 2018 na bridal mask utupie mule kwenye channel ya series nazisakaga sana bila mafanikio
Nshakuwekea mzigo wako. Hope umeona.
 
Back
Top Bottom