Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,119
Lile bado mkuu sijajaribu tena kudowload kupitia kule, nachukua title naenda kupakua au kuchk kupitia cyrose hd, issue ni kwamba nikishaichak inabidi niifute kusave space, labda kama una any way au source like telegram ambayo naweza nikadownload zikawa stored out bila kuingia direct kwenye galary nitafutahi mkuuHahaha pamoja sana boss. Naona kila hatua twasonga...video ya kwanza ilichukua week kupata 100 views, ya pili ikachukua 5 days ila hii ya tatu imechukua masaa tu.
Alafu ntakuja na uzi mwingine wa movies kama si leo kesho. Kaa tayari.
Alafu vipi ulifanikiwa lile tatizo?
SteveMollel Naona swali langu mpaka Leo ujajibu
Tumia BGram mzee. Idownload from playstoreLile bado mkuu sijajaribu tena kudowload kupitia kule, nachukua title naenda kupakua au kuchk kupitia cyrose hd, issue ni kwamba nikishaichak inabidi niifute kusave space, labda kama una any way au source like telegram ambayo naweza nikadownload zikawa stored out bila kuingia direct kwenye galary nitafutahi mkuu
Tazama. Nilishakujibu mbona kwamba acha nkutazamie.Naona swali langu mpaka Leo ujajibu
Nilikuuliza movie ipi yenye maudhui Kama "13 Sins" ukitoa nerve na truth or dare?
Asante mkuu Kama utapata zingine nistue.Tazama. Nilishakujibu mbona kwamba acha nkutazamie.
Ok, waweza tafuta hizi....
1. THE GAME (1997)
2. Game of Death (2006)
3. Black Cadillac (2003)
4. When a stranger calls (2006)
Sasa kama haikai kwenye storage ya simu si ina maana kuiangalia nitaitaji bundle tena?Ndio, mkuu. Hata kama ukidownload movies 200, itabakia huko telegram pasipo kuja kwa gallery labda tu wewe ndo uamue kuihamisha kuileta kwenye gallery ya simu yako. Na pia ukishadownload waweza share tu kwa mwingine wa Telegram hata whatsapp.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nikiwa na bgram kuna haja ya kuwa tena na hii telegram?Tumia BGram mzee. Idownload from playstore
Nimefanikiwa kwa kuupdate hii vlc,juzi nimeshusha mzigo movie kama 20 hivi ahsante sana kwa wazo lako la ile channel....Mkuu kama una zile series za my secret terrius 2018 na bridal mask utupie mule kwenye channel ya series nazisakaga sana bila mafanikioAhsante sana mkuu.
Ebu Jaribu kutumia KM player. Ikiwa tatizo bado, nijuze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes ni kama Facebook na messangerMkuu nikiwa na bgram kuna haja ya kuwa tena na hii telegram?
Telegram ina cloud storage ambapo inahifadhia vitu vyake. So ww ukishapakua movie, ni kuitazama tu muda wowote utakao huku ikiwa bado haitumii space ya simu yako labda tu ww mwenyewe ukitaka kuhamishia kwenye gallerySasa kama haikai kwenye storage ya simu si ina maana kuiangalia nitaitaji bundle tena?
Sasa kikiwa huko kukiangalia si bando linahitajika? Maana inakuwa kama unastream tena. Ama mimi ndio sielewiTelegram ina cloud storage ambapo inahifadhia vitu vyake. So ww ukishapakua movie, ni kuitazama tu muda wowote utakao huku ikiwa bado haitumii space ya simu yako labda tu ww mwenyewe ukitaka kuhamishia kwenye gallery
Ahsante mkuu.Nimefanikiwa kwa kuupdate hii vlc,juzi nimeshusha mzigo movie kama 20 hivi ahsante sana kwa wazo lako la ile channel....Mkuu kama una zile series za my secret terrius 2018 na bridal mask utupie mule kwenye channel ya series nazisakaga sana bila mafanikio
Hapana. Ukishadownload mzee ndo basi. Hutotumia tena bundle kutazama.Sasa kikiwa huko kukiangalia si bando linahitajika? Maana inakuwa kama unastream tena. Ama mimi ndio sielewi
Hapana. Ukishadownload mzee ndo basi. Hutotumia tena bundle kutazama.
Yes. Unaweza idownload version ya pc kwa kuipakua kule google.Kuumbe. Kwenye pc telegram si ipo pia?
Nshakuwekea mzigo wako. Hope umeona.Nimefanikiwa kwa kuupdate hii vlc,juzi nimeshusha mzigo movie kama 20 hivi ahsante sana kwa wazo lako la ile channel....Mkuu kama una zile series za my secret terrius 2018 na bridal mask utupie mule kwenye channel ya series nazisakaga sana bila mafanikio
Ngoja nijiunge usiku pack,nishushe mzigo...Shukran sana mzeeNshakuwekea mzigo wako. Hope umeona.
Na ndo njia ninayotumia mimi, natumia kwa PC ili nidownload kwa IDM maana ipo fastaYes. Unaweza idownload version ya pc kwa kuipakua kule google.
Hapo unakuwa umeua kabisa!Na ndo njia ninayotumia mimi, natumia kwa PC ili nidownload kwa IDM maana ipo fasta
Pamoja boss.Ngoja nijiunge usiku pack,nishushe mzigo...Shukran sana mzee