Mzee wa Kanisa la Wasabato awafuturisha Waislamu 100 Tanga

Mzee wa Kanisa la Wasabato awafuturisha Waislamu 100 Tanga

Wewe ndiye uelimishwe.

Tafakari hii,

Kwa Jina la Baba,

Na la Mwana,

Na la Roho MTAKATIFU.

Jina la Baba ni nani?
Jina la Mwana ni nani?

Jina la Roho MTAKATIFU ni nani?

Jibu;

Jina La Roho MTAKATIFU ndiye Roho wa Yesu.

Jina la Mwana ndiye Yesu,

Jina la Baba ndiye huyo huyo aketiye kwenye KITI Cha enzi Mbinguni hata sasa.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen
Teh teh teh,naona makafiri mnapigana makonde wenyewe mmoja anasema Yesu MUNGU mwingine anasema Yesu ni Mzungu,patamu hapooo..!!

Mimi ngoja Nile zangu popcorn za upako za mwamposa hapa,niwaenjoy...teh teh teh...

Eti maria mtakatifu mama wa Mungu tunaomba utuombee,nyieeeee.....!!!
 
Teh teh teh,naona makafiri mnapigana makonde wenyewe mmoja anasema Yesu MUNGU mwingine anasema Yesu ni Mzungu,patamu hapooo..!!

Mimi ngoja Nile zangu popcorn za upako za mwamposa hapa,niwaenjoy...teh teh teh...

Eti maria mtakatifu mama wa Mungu tunaomba utuombee,nyieeeee.....!!!
Yesu ndiye aliyemuumba Maria, kabla ya kuvaa mwili na Kuzaliwa, hawezi kuwa mama wa Mungu.

Huo ni uongo wa Rumi na papa.
 
(Wafilipi 2:10-11)

"Ili Kwa Jina la YESU Kila goti lipigwe, la vitu vya Mbinguni,na vya duniani, na vya chini ya nchi, na Kila ULIMI ukiri kuwa YESU KRISTO NI BWANA, Kwa utukufu wa Mungu Baba."

Huyu Yesu unayemtukana Leo, IPO siku Inakuja, utamkubali Kwa kinywa na utampigia magoti, Kisha utatupwa JEHANUM ikiwa hutamkubali sasa.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO ndilo JINA lake. Amen
Mungu ni Mmoja tuh,hajazaaa Wala hajazaliwa na hakuna nguchiro yoyote anaefanana nae,na katika ufalme wake Hana ushirika....

Yesu mnaesema mara ni mwana wa Mungu,mara ni Mungu Mkuu n.k...hana hizo sifa, that's why nakuambia toka lini mungu akaenda chooni kukata gogo?
 
Yesu ndiye aliyemuumba Maria, kabla ya kuvaa mwili na Kuzaliwa, hawezi kuwa mama wa Mungu.

Huo ni uongo wa Rumi na papa.
Weweeee.....!!teh teh teh....

Kwahiyo Yesu kamuumba maria mtakatifu mama wa Mungu,Kisha maria huyo huyo akaja Kumzaa Yesu au siyo??

Haleluyaaaah.... dadeekii....

Sasa kama Yesu ndie aliemuumba maria,na Yesu ndie.mungu Mkuu,Adam kaumbwa na nani,huyo huyo Yesu au??

Makafiri makafiri makafiri...tumieni japo akilii.
 
Sasa kama unakiri MTU aliekufa hawezi kusaidia,Yesu pia ambae alishindwa kujisaidia yeye mwenyewe pale msalabani kama.mnavyosema na akapewa kichapo Cha paka mwizi atawezaje kukusaidia Wewe?

We umeona wapi Mungu anapigwa msalabani hadi anajinyea Kisha awe na uwezo wa kukusaidia,hata akili hutumii?

Nyie watu wa aunt mudi. Mudi alikufa mkataka afufuke mkamzika juu juu, nguruwe akapita naye. Teh teh tihii. Ndo kisa cha kumchukia kiti moto wa watu.
 
Nyie watu wa aunt mudi. Mudi alikufa mkataka afufuke mkamzika juu juu, nguruwe akapita naye. Teh teh tihii. Ndo kisa cha kumchukia kiti moto wa watu.
Shauri yako,stuka uondoke huko kwenye Giza,na kama hutaki mwisho wake ndiyo huu unaletewa sheria za kuwa msenge uolewe,hakuna dini hapo,ni biashara za watu hizooo....
 
Weweeee.....!!teh teh teh....

Kwahiyo Yesu kamuumba maria mtakatifu mama wa Mungu,Kisha maria huyo huyo akaja Kumzaa Yesu au siyo??

Haleluyaaaah.... dadeekii....

Sasa kama Yesu ndie aliemuumba maria,na Yesu ndie.mungu Mkuu,Adam kaumbwa na nani,huyo huyo Yesu au??

Makafiri makafiri makafiri...tumieni japo akilii.
Wewe ndio unekwama,

Unataka kutumia akili ya kuvukia barabara kumuelewa Mungu.

Sifa kuu ya Mungu ni uwezo wa kuwapo Mahali pote Kwa wakati mmoja.

Mbinguni alikuwepo, lakini wakati huo huo akavaa mwili wa mwanadamu,

Wakati huo huo ndiye anafanya KAZI zote na kuwepo kote kupitia Roho MTAKATIFU.

Mungu ni MMOJA, hagawanyiki, ila anaweza kuwepo pote at once.

Huyo ndiye Mungu.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
 
Weweeee.....!!teh teh teh....

Kwahiyo Yesu kamuumba maria mtakatifu mama wa Mungu,Kisha maria huyo huyo akaja Kumzaa Yesu au siyo??

Haleluyaaaah.... dadeekii....

Sasa kama Yesu ndie aliemuumba maria,na Yesu ndie.mungu Mkuu,Adam kaumbwa na nani,huyo huyo Yesu au??

Makafiri makafiri makafiri...tumieni japo akilii.

Sikiliza bwana mdogo, Yesu alikuwa mbinguni na alishiriki katika uumbaji wote unaouona na usiouona.
 
Shauri yako,stuka uondoke huko kwenye Giza,na kama hutaki mwisho wake ndiyo huu unaletewa sheria za kuwa msenge uolewe,hakuna dini hapo,ni biashara za watu hizooo....

Nyie endeleeni kuongea lugha msizozijua. Halafu mnazubaa tu. Wee dini gani ili ujiunge lazima ujifunze kiarabu, tukisema nyie ni misukule ya waarabu mtabisha.
 
Linganisha na
1. Kumbukumbu la Torati 6 : 5
2. Yohana 14 : 28.
3. Yohana 8 : 53, 54
Mungu ni Mmoja tuh,hajazaaa Wala hajazaliwa na hakuna nguchiro yoyote anaefanana nae,na katika ufalme wake Hana ushirika....

Yesu mnaesema mara ni mwana wa Mungu,mara ni Mungu Mkuu n.k...hana hizo sifa, that's why nakuambia toka lini mungu akaenda chooni kukata gogo?
Yohana 8 :53-58
Yesu mwenyewe anasema yeye yupo hata kabla ya ibrahim.
Kumbuka Musa alivyo ambiwa na Mungu jinsi atavyowajibu wa Israel kumhusu Mungu anaemuamini
"Mimi NIKO ambae NIKo". Kut 3:14

Vilevile soma
Yohana 20:27-29
Isaya7:14
Mika 5:2
Warumi9:5
 
Ni sahihi.Wasabato ni waislamu waliochangamka

Mfano wasabato hawaamini kuwa Yesu ni Mungu na waislamu nao huamini Yesu sio Mungu

Wasabato mwiko kula nguruwe na waisllamu pia mwiko kula nguruwe
Acha uongo wasabato wanaamini katika utatu mtaķatifu(MUNGU katika nafsi tatu) hawali nguruwe,kambale,ngamia....acheni mambo yenu ya kukopi na kupesti allah wenu ni baba wa uongo.
 
Yesu SI Mungu, makafiri wamevurugwa tuh,WEWE Mungu aende kukata gogo kweli?


Aaah makafiri kwanini hawatumii akili kufikiria??
Na yule mbakaji,mnyonya...oo yaani mnakuwa wafuasi wa mtuhumiwa?!![emoji45][emoji45]
 
Kati ya waislam na wakristo ni kina nani wanatoa misaada sana? Nazungumzia mtu mmoja mmoja kama alivyofanya huyo bwana kufuturisha watu
Hao waarabu wenu wanaofurisha watumwa wao mi ndugu yangu akienda kupanga foleni kusubiri tende nampa timbwili hata kama kasilimu.
 
Ukafiri sio matusi bali ni sifa.
Neno "KAFIR" limetoka kwenye lugha ya kiarabu. Kiswahili maana yake ni "Yyt mwenye kumshirikisha Mungu na kitu flani".
Yaani ukiwa na imani kuwa Mungu Ana mshirika mwingine ktk uungu wake . Mfano Mwana na Roho Mtakatifu hapo unakuwa na Sifa ya UKAFIRI.

Kwa maana hio yyt anaeamini kuwa MUNGU NI MMOJA TU. hana Mshirika yyt wala mshauri ktk UUNGU WAKE huo sio kafiri.
Mfano wayahudi na Waislamu.
Hawa wote wanaamini MUNGU MMOJA TU. na Yesu ni mtume na mjumbe wa Mungu na ni binaadamu aloezaliwa kwa miujiza ya Mungu.
Lkn SIO MUNGU WALA MWANA WA MUNGU WALA hana ushirika wwt na MUNGU zaidi ya yeye YESU kuwa MTUMISHI na MTUMWA WA MUNGU.
Sio kweli neno kafiri ni neno la kiarabu lipo kabla ya uislam na maana yake ni mpingaji kwa kiswahili hiyo tafsri umeitoa kwa ajili ya ku satisfy your soul maana uongo jadi yenu.Mpingaji hupinga kilichotangulia,kati ya UKRISTO na uislam kipi kilianza ili tujue nani ni mpingaji(kwa hulka yenu ya upotoshaji utasikia uislam ulikuwepo kabla ya ukristo)!
 
Back
Top Bottom