Mzee wa Kanisa la Wasabato awafuturisha Waislamu 100 Tanga

Mzee wa Kanisa la Wasabato awafuturisha Waislamu 100 Tanga

Ujinga unaofanywa na hao unao wataja haufuti ujinga unaofanywa na timu mudi. Wote ni majanga tu.
Teh teh teh.
Sasa sisi vijana wa madrasa kwa miaka zaidi ya 1400 kanuni zetu ziko vile vile. Uislam haukaliwi vikao ukabadilishwa au kuchakachuliwa km wenzetu wa Vatican.

Sasa kwa sababu unatuweka ktk kundi moja ni bora ungedadavua kipi vijana wa madrasa wanakifanya ambacho wewe babu mwenye elimu ya kata kinakukwaza.
Manake kelele sifa ya mlevi na chizi.
Weka hoja hapa tukusaidie .
majanga yapi sisi wavaa kobazi yanakupa shida? Manake isijekuwa una changamoto za uke wenza ukatupakazia sisi wote

Hebu tuanzia hapo.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.

MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.

Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.

Nipashe

Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2950296
yuko vizuri sana, abarikiwe sana
 
Wapemba ni waharifu wale, wanajua kabisa hata kitabu chao hakiwapi haki ya kuchapa watu bakora mwezi wa ramadhani! Ni uhalifu tu upumbavu uliowajaa

Hayupo MUNGU wa kweli kuwaamrisha watu wachapwe bakora sababu tu wao hawakufunga! Na mbaya kabisa si wa imani yao
Sio lazima uchangie hoja km hujui uliza wanaojua ili upate kujua
 
Msabato na muslim wanaelewana sana, ila Muslim na Mkatoliki na Msabato na Mkatoliki hawaivi sijui kisa ni yule mbuzi katoliki!!!
Nimejifunza kitu nilikua cku nyingi najiuliza kunasiri gn waislam na wasabato kuwa karibu sn
 
Nimejifunza kitu nilikua cku nyingi najiuliza kunasiri gn waislam na wasabato kuwa karibu sn
Kule Morogoro wamejenga nyumba za ibada karibu sana wanatenganishwa na fensi
 
Mwanammw yyt kumpenda BIKRA no Dalili tosha KABISA kuwa Huyo mwanamme WA Kweli Kweli.
Shida pale PAPA WA VATICAN kiongozi MKUU WA MWISHO WA KANISA kusema kuwa WANAMME WAOANE.
Hapo ndio tu

Yaani kutenda wema koote ambako nina jitahidi. Halafu ujira ni mabikira 72.
Timu Mudi lazima mna makorokocho kichwani.
 
Yaani kutenda wema koote ambako nina jitahidi. Halafu ujira ni mabikira 72.
Timu Mudi lazima mna makorokocho kichwani.
Teh teh teh
Kijana mbona kila siku anapenda kudandia train kwa mbele?
Mabikra NI part of the package.
Soma mzigo wote uone km utaendela kubaki kwenye ukafiri.

Peponi Raha kijana
Ili uweze kufaidi hao mabikra Lzm ushibe.
Kwahio Menu pia ipo tena ya maana

Mbali ya mabikra na menu kuna makasri yaliojengwa kwa Lulu na marjaan.
Hayo majina kwako unaweza kudhani NI miji ya Waarabu. 😂😂.
Mbali na majumba ya kifahari kuna Mito ya maziwa Asali na mvinyo.
Mvinyo huo sio zile Dodoma wine mnazotumia nyweshwa huko makanisani.
Hapana.
Mvinyo WA Peponi ukinywa hutokwi na akili wala kuanza kuimba ovyo.

We najua utakuwa na changamoto ya nguvu za kiume ndio maana MABIKRA hutaki hata kusikia.
Soma full package ya kipi wameahidiwa Wale wenye KUABUDU MUNGU MMOJA.
utakubali mwenyewe kuwa hakuna MUNGU ispokuww MMOJA TU .
 
Back
Top Bottom