THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Teh teh teh,naona makafiri mnapigana makonde wenyewe mmoja anasema Yesu MUNGU mwingine anasema Yesu ni Mzungu,patamu hapooo..!!Wewe ndiye uelimishwe.
Tafakari hii,
Kwa Jina la Baba,
Na la Mwana,
Na la Roho MTAKATIFU.
Jina la Baba ni nani?
Jina la Mwana ni nani?
Jina la Roho MTAKATIFU ni nani?
Jibu;
Jina La Roho MTAKATIFU ndiye Roho wa Yesu.
Jina la Mwana ndiye Yesu,
Jina la Baba ndiye huyo huyo aketiye kwenye KITI Cha enzi Mbinguni hata sasa.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen
Wenye shobo walioenda kula wali wa watu acheni njaa kenge nyieMakafiri waache kujipendekeza,wao Wana dini Yao na sisi tuna dini yetu,waache shobo.
Yesu ndiye aliyemuumba Maria, kabla ya kuvaa mwili na Kuzaliwa, hawezi kuwa mama wa Mungu.Teh teh teh,naona makafiri mnapigana makonde wenyewe mmoja anasema Yesu MUNGU mwingine anasema Yesu ni Mzungu,patamu hapooo..!!
Mimi ngoja Nile zangu popcorn za upako za mwamposa hapa,niwaenjoy...teh teh teh...
Eti maria mtakatifu mama wa Mungu tunaomba utuombee,nyieeeee.....!!!
Mungu ni Mmoja tuh,hajazaaa Wala hajazaliwa na hakuna nguchiro yoyote anaefanana nae,na katika ufalme wake Hana ushirika....(Wafilipi 2:10-11)
"Ili Kwa Jina la YESU Kila goti lipigwe, la vitu vya Mbinguni,na vya duniani, na vya chini ya nchi, na Kila ULIMI ukiri kuwa YESU KRISTO NI BWANA, Kwa utukufu wa Mungu Baba."
Huyu Yesu unayemtukana Leo, IPO siku Inakuja, utamkubali Kwa kinywa na utampigia magoti, Kisha utatupwa JEHANUM ikiwa hutamkubali sasa.
Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO ndilo JINA lake. Amen
Weweeee.....!!teh teh teh....Yesu ndiye aliyemuumba Maria, kabla ya kuvaa mwili na Kuzaliwa, hawezi kuwa mama wa Mungu.
Huo ni uongo wa Rumi na papa.
Nani alianza kuandaa na kualika mwenzake?Wenye shobo walioenda kula wali wa watu acheni njaa kenge nyie
Sent from my PRA-LA1 using JamiiForums mobile app
Sasa kama unakiri MTU aliekufa hawezi kusaidia,Yesu pia ambae alishindwa kujisaidia yeye mwenyewe pale msalabani kama.mnavyosema na akapewa kichapo Cha paka mwizi atawezaje kukusaidia Wewe?
We umeona wapi Mungu anapigwa msalabani hadi anajinyea Kisha awe na uwezo wa kukusaidia,hata akili hutumii?
Shauri yako,stuka uondoke huko kwenye Giza,na kama hutaki mwisho wake ndiyo huu unaletewa sheria za kuwa msenge uolewe,hakuna dini hapo,ni biashara za watu hizooo....Nyie watu wa aunt mudi. Mudi alikufa mkataka afufuke mkamzika juu juu, nguruwe akapita naye. Teh teh tihii. Ndo kisa cha kumchukia kiti moto wa watu.
Wewe ndio unekwama,Weweeee.....!!teh teh teh....
Kwahiyo Yesu kamuumba maria mtakatifu mama wa Mungu,Kisha maria huyo huyo akaja Kumzaa Yesu au siyo??
Haleluyaaaah.... dadeekii....
Sasa kama Yesu ndie aliemuumba maria,na Yesu ndie.mungu Mkuu,Adam kaumbwa na nani,huyo huyo Yesu au??
Makafiri makafiri makafiri...tumieni japo akilii.
Weweeee.....!!teh teh teh....
Kwahiyo Yesu kamuumba maria mtakatifu mama wa Mungu,Kisha maria huyo huyo akaja Kumzaa Yesu au siyo??
Haleluyaaaah.... dadeekii....
Sasa kama Yesu ndie aliemuumba maria,na Yesu ndie.mungu Mkuu,Adam kaumbwa na nani,huyo huyo Yesu au??
Makafiri makafiri makafiri...tumieni japo akilii.
Shauri yako,stuka uondoke huko kwenye Giza,na kama hutaki mwisho wake ndiyo huu unaletewa sheria za kuwa msenge uolewe,hakuna dini hapo,ni biashara za watu hizooo....
Linganisha na
1. Kumbukumbu la Torati 6 : 5
2. Yohana 14 : 28.
3. Yohana 8 : 53, 54
Yohana 8 :53-58Mungu ni Mmoja tuh,hajazaaa Wala hajazaliwa na hakuna nguchiro yoyote anaefanana nae,na katika ufalme wake Hana ushirika....
Yesu mnaesema mara ni mwana wa Mungu,mara ni Mungu Mkuu n.k...hana hizo sifa, that's why nakuambia toka lini mungu akaenda chooni kukata gogo?
Wewe ni sheik wa Mkoa gani!? Unajua maana ya kujipendekeza?. Sasa wanao utawaleaje hiviMakafiri waache kujipendekeza,wao Wana dini Yao na sisi tuna dini yetu,waache shobo.
Acha uongo wasabato wanaamini katika utatu mtaķatifu(MUNGU katika nafsi tatu) hawali nguruwe,kambale,ngamia....acheni mambo yenu ya kukopi na kupesti allah wenu ni baba wa uongo.Ni sahihi.Wasabato ni waislamu waliochangamka
Mfano wasabato hawaamini kuwa Yesu ni Mungu na waislamu nao huamini Yesu sio Mungu
Wasabato mwiko kula nguruwe na waisllamu pia mwiko kula nguruwe
Kama ambavyo ww hua ukibakwa baada ya wake wenzako watatu waliokutangulia wakishabakwa mana ww n mke wa nneItakuwa ulibakwa sio kwa povo hili. 😂
Na yule mbakaji,mnyonya...oo yaani mnakuwa wafuasi wa mtuhumiwa?!![emoji45][emoji45]Yesu SI Mungu, makafiri wamevurugwa tuh,WEWE Mungu aende kukata gogo kweli?
Aaah makafiri kwanini hawatumii akili kufikiria??
Hao waarabu wenu wanaofurisha watumwa wao mi ndugu yangu akienda kupanga foleni kusubiri tende nampa timbwili hata kama kasilimu.Kati ya waislam na wakristo ni kina nani wanatoa misaada sana? Nazungumzia mtu mmoja mmoja kama alivyofanya huyo bwana kufuturisha watu
Sio kweli neno kafiri ni neno la kiarabu lipo kabla ya uislam na maana yake ni mpingaji kwa kiswahili hiyo tafsri umeitoa kwa ajili ya ku satisfy your soul maana uongo jadi yenu.Mpingaji hupinga kilichotangulia,kati ya UKRISTO na uislam kipi kilianza ili tujue nani ni mpingaji(kwa hulka yenu ya upotoshaji utasikia uislam ulikuwepo kabla ya ukristo)!Ukafiri sio matusi bali ni sifa.
Neno "KAFIR" limetoka kwenye lugha ya kiarabu. Kiswahili maana yake ni "Yyt mwenye kumshirikisha Mungu na kitu flani".
Yaani ukiwa na imani kuwa Mungu Ana mshirika mwingine ktk uungu wake . Mfano Mwana na Roho Mtakatifu hapo unakuwa na Sifa ya UKAFIRI.
Kwa maana hio yyt anaeamini kuwa MUNGU NI MMOJA TU. hana Mshirika yyt wala mshauri ktk UUNGU WAKE huo sio kafiri.
Mfano wayahudi na Waislamu.
Hawa wote wanaamini MUNGU MMOJA TU. na Yesu ni mtume na mjumbe wa Mungu na ni binaadamu aloezaliwa kwa miujiza ya Mungu.
Lkn SIO MUNGU WALA MWANA WA MUNGU WALA hana ushirika wwt na MUNGU zaidi ya yeye YESU kuwa MTUMISHI na MTUMWA WA MUNGU.
Na waislam nao hawali ngamia,kambale?Wasabato na Waisilamu hawana tofauti