Teh teh teh.Ujinga unaofanywa na hao unao wataja haufuti ujinga unaofanywa na timu mudi. Wote ni majanga tu.
yuko vizuri sana, abarikiwe sanaWadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.
MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.
Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.
Nipashe
Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2950296
JwYesu hawezi akawa Mungu bana. Jielimishe zaidi kuhusu hili.
Jw hawalielewi hilo andiko.Isaya 9:6
Yohana 1:1-10
Mhh yepi wanofananaMuslims na Wasabato damudamu........mambo kadhaa wanashare
Sio lazima uchangie hoja km hujui uliza wanaojua ili upate kujuaWapemba ni waharifu wale, wanajua kabisa hata kitabu chao hakiwapi haki ya kuchapa watu bakora mwezi wa ramadhani! Ni uhalifu tu upumbavu uliowajaa
Hayupo MUNGU wa kweli kuwaamrisha watu wachapwe bakora sababu tu wao hawakufunga! Na mbaya kabisa si wa imani yao
Nimejifunza kitu nilikua cku nyingi najiuliza kunasiri gn waislam na wasabato kuwa karibu snMsabato na muslim wanaelewana sana, ila Muslim na Mkatoliki na Msabato na Mkatoliki hawaivi sijui kisa ni yule mbuzi katoliki!!!
Mengi sana,hadi redio imani Wasabato wanaarikwa kwenye mijadala.....wanajuana wenyeweMhh yepi wanofanana
Mwanammw yyt kumpenda BIKRA no Dalili tosha KABISA kuwa Huyo mwanamme WA Kweli Kweli.
Kule Morogoro wamejenga nyumba za ibada karibu sana wanatenganishwa na fensiNimejifunza kitu nilikua cku nyingi najiuliza kunasiri gn waislam na wasabato kuwa karibu sn
Mwanammw yyt kumpenda BIKRA no Dalili tosha KABISA kuwa Huyo mwanamme WA Kweli Kweli.
Shida pale PAPA WA VATICAN kiongozi MKUU WA MWISHO WA KANISA kusema kuwa WANAMME WAOANE.
Hapo ndio tu
Teh teh tehYaani kutenda wema koote ambako nina jitahidi. Halafu ujira ni mabikira 72.
Timu Mudi lazima mna makorokocho kichwani.