Mzee wa kichaga kakataa zawadi ya spacio akidai ni magari ya wendawazimu,

Mzee wa kichaga kakataa zawadi ya spacio akidai ni magari ya wendawazimu,

gwanseri

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2024
Posts
379
Reaction score
1,081
Ndio imeshatokea

Mzee Assey kakataa zawadi ya spacio aliyopewa na mkwe wake akidai hayo ni magari ya wendawazimu,
Kuna wazee hawana adabu kabisa ,

Kwani spacio ina tatizo gani kwa kutumika kama chombo cha usafiri?

Tuwe tunaangalia zawadi za kuwapa wazee waliojipatia pesa muda mrefu na ujana wao waliutumia vizuri kupambana na maisha yao,

Sijui mtoa zawadi ana Hali gani hadi muda huu?
 
Ndio imeshatokea
Mzee Assey kakataa zawadi ya spacio aliyopewa na mkwe wake akidai hayo ni magari ya wendawazimu,
Kuna wazee hawana adabu kabisa ,
Kwani spacio ina tatizo gani kwa kutumika kama chombo cha usafiri?
Tuwe tunaangalia zawadi za kuwapa wazee waliojipatia pesa muda mrefu na ujana wao waliutumia vizuri kupambana na maisha yao,
Sijui mtoa zawadi ana Hali gani hadi muda huu?
Mkwe ni mchaga mwenzake au chasaka???
 
binadamu tukiwa na nafasi tunakua na majivuno sana, wema sepetu alishawahi kumponda diamond eti kamnunulia murano

kuna kipindi alipost eti kajaribu kutembea dar na hili joto akahoji hivi mnaotembea kwa miguu hapa dar mna tofauti gani na ngombe

haikupita miaka 7 naona watu wanamchangia apate gari la kutembelea...
 
Back
Top Bottom