Ndio imeshatokea
Mzee Assey kakataa zawadi ya spacio aliyopewa na mkwe wake akidai hayo ni magari ya wendawazimu,
Kuna wazee hawana adabu kabisa ,
Kwani spacio ina tatizo gani kwa kutumika kama chombo cha usafiri?
Tuwe tunaangalia zawadi za kuwapa wazee waliojipatia pesa muda mrefu na ujana wao waliutumia vizuri kupambana na maisha yao,
Sijui mtoa zawadi ana Hali gani hadi muda huu?
Mzee Assey kakataa zawadi ya spacio aliyopewa na mkwe wake akidai hayo ni magari ya wendawazimu,
Kuna wazee hawana adabu kabisa ,
Kwani spacio ina tatizo gani kwa kutumika kama chombo cha usafiri?
Tuwe tunaangalia zawadi za kuwapa wazee waliojipatia pesa muda mrefu na ujana wao waliutumia vizuri kupambana na maisha yao,
Sijui mtoa zawadi ana Hali gani hadi muda huu?