Mzee wa kichaga kakataa zawadi ya spacio akidai ni magari ya wendawazimu,

Mzee wa kichaga kakataa zawadi ya spacio akidai ni magari ya wendawazimu,

Ndio imeshatokea

Mzee Assey kakataa zawadi ya spacio aliyopewa na mkwe wake akidai hayo ni magari ya wendawazimu,
Kuna wazee hawana adabu kabisa ,

Kwani spacio ina tatizo gani kwa kutumika kama chombo cha usafiri?

Tuwe tunaangalia zawadi za kuwapa wazee waliojipatia pesa muda mrefu na ujana wao waliutumia vizuri kupambana na maisha yao,

Sijui mtoa zawadi ana Hali gani hadi muda huu?
Huyo ni mzee wa hovyo kabisa na hana busara atakuwa genz
 
Ndio imeshatokea

Mzee Assey kakataa zawadi ya spacio aliyopewa na mkwe wake akidai hayo ni magari ya wendawazimu,
Kuna wazee hawana adabu kabisa ,

Kwani spacio ina tatizo gani kwa kutumika kama chombo cha usafiri?

Tuwe tunaangalia zawadi za kuwapa wazee waliojipatia pesa muda mrefu na ujana wao waliutumia vizuri kupambana na maisha yao,

Sijui mtoa zawadi ana Hali gani hadi muda huu?
Ha ha ha!
Huyo mzee Assey ni mjinga wa wajinga.
Mtu huchagui zawadi toka moyoni.
Mtoa zawadi hana matatizo na sasa anajua tatizo katika familia ya mke wake iko wapi.

Mimi iliwahi nitokea, mkwe(wa mbali kidogo), nilimpelekea zawadi akaishia kunikandia kuwa nisimpekee vizawadi duni na kwamba kwanza nakopa kwa wakwe, kitu ambacho sijawahinkufanya katu.
Nilipomuuliza mke wangu naye alishangaa!
Mimi sikusema neno, nikaaga na huo ukawa mwisho wa kwenda ukweni, hadi baada ya miaka 5 mama mkwe kuomba radhi kwa maneno ya baba mkwe.
 
Back
Top Bottom