Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Una gari? Au ndo unasubiri gari la Mume mtarajiwa!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una gari? Au ndo unasubiri gari la Mume mtarajiwa!?
Strarlet?ila kuna magari nayo hapana mi mtu akinipa fun cargo kwa sharti kua lazima nilitumie nisigawe au nisuuze pia siwezi kukubali[emoji3]
bora hata hio... sasa opa???Strarlet?
Chukua Pro Boxhapana aisee fun cargo au opa mimi siwezi
Una mbususu yenye kiwango kiasi cha kukupa nyodo kiasi hicho?...Au hizi hizi BP (brekii pum.bu)?...ishachakazwa vya kutosha.
Tajiri la JFMwanaume unahesabu pesa kununua gari hizo , sijui spacio, sijui ist,Nissan dualis nk Kuna shida kwenye brain Yako na jiandae kuwa na ushirika na trafiki Kila wakikuona wanakupiga tu mkono wanajua fala anapita
Yaah mjumbe tukijificha kwenye keyboard ni mwendo wa kuvimba tu.Matajiri wa JF bana
Njoo jombe utajua tajiri wa jf au nikufundishe jambo kuhusu magari na ununuzi ili usiwe falaTajiri la JF
Nissan march hapana. Nilikuwa na Nissan ad van nikaona isiwe tabu, spare mpaka uingie google au Nairobi, nikawaambie wenyewe mnipe tu hela ya kiwi ya viatu chukueniBasi pokea Nisan March
Huyo ni mzee wa hovyo kabisa na hana busara atakuwa genzNdio imeshatokea
Mzee Assey kakataa zawadi ya spacio aliyopewa na mkwe wake akidai hayo ni magari ya wendawazimu,
Kuna wazee hawana adabu kabisa ,
Kwani spacio ina tatizo gani kwa kutumika kama chombo cha usafiri?
Tuwe tunaangalia zawadi za kuwapa wazee waliojipatia pesa muda mrefu na ujana wao waliutumia vizuri kupambana na maisha yao,
Sijui mtoa zawadi ana Hali gani hadi muda huu?
Njombe wanadharau sana nlikuta mtu anauzia matunda kakunja siti kamwaga mananasi kwenye toyota vangad? Halafu kipindi hicho namba D ndio mpya mpya aisee!Njoo jombe utajua tajiri wa jf
We Mtu unalelewa kwa shemeji hata vocha tu hujui inauzwaje, kauli hizi huwezi kuzisikia hata mara moja kwa mtu mwenye gariMimi nikiona mtu anaendesha spacio hua naangalia pembeni tu apite
Ha ha ha!Ndio imeshatokea
Mzee Assey kakataa zawadi ya spacio aliyopewa na mkwe wake akidai hayo ni magari ya wendawazimu,
Kuna wazee hawana adabu kabisa ,
Kwani spacio ina tatizo gani kwa kutumika kama chombo cha usafiri?
Tuwe tunaangalia zawadi za kuwapa wazee waliojipatia pesa muda mrefu na ujana wao waliutumia vizuri kupambana na maisha yao,
Sijui mtoa zawadi ana Hali gani hadi muda huu?
Chura si chura kobe si kobe...Toyota wanajua kuwakamata watu in the name of reliability and economyLakini spacio ilivokaa basi tu