Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana kwa umri wake gari sio kitu cha muhimu kabisaae na kumbuka lazima gari litahitaji matunzo ya kutosha ,hivo Mzee anaweza kuwa sahihi kabisa kwa upande wanguNdio imeshatokea
Mzee Assey kakataa zawadi ya spacio aliyopewa na mkwe wake akidai hayo ni magari ya wendawazimu,
Kuna wazee hawana adabu kabisa ,
Kwani spacio ina tatizo gani kwa kutumika kama chombo cha usafiri?
Tuwe tunaangalia zawadi za kuwapa wazee waliojipatia pesa muda mrefu na ujana wao waliutumia vizuri kupambana na maisha yao,
Sijui mtoa zawadi ana Hali gani hadi muda huu?
Umetuwekea heading ili tukujengee contents zake.Ndio imeshatokea
Mzee Assey kakataa zawadi ya spacio aliyopewa na mkwe wake akidai hayo ni magari ya wendawazimu,
Kuna wazee hawana adabu kabisa ,
Kwani spacio ina tatizo gani kwa kutumika kama chombo cha usafiri?
Tuwe tunaangalia zawadi za kuwapa wazee waliojipatia pesa muda mrefu na ujana wao waliutumia vizuri kupambana na maisha yao,
Sijui mtoa zawadi ana Hali gani hadi muda huu?
Mwanaume unataka kupewa Magari bure
Weee watu wanakunjwa kwenye Vitz Yaris. Na qanafurahia kufikishwa kwao na huo usafiri. Kwahiyo bora ukangongwe na Boda.
Tuwaambie wajapan wanapotengeneza magari wawe wanauliza wateja kwanza yakaejeLakini spacio ilivokaa basi tu
Unyama sana.Strarlet?
Utazeekea nyumbani mwishowe utaolewa na babayako
Sio dharau mzee, sasa mtu nimevuna viazi ,kauza msitu Nina pesa ya kutosha mfukoni unataka nikanune ist gari ukikanyaga kokoto unajisikia mwilini kuwa umegonga,gari ikigonga mbwa inabonyeaNjombe wanadharau sana nlikuta mtu anauzia matunda kakunja siti kamwaga mananasi kwenye toyota vangad? Halafu kipindi hicho namba D ndio mpya mpya aisee!
PichaNdio imeshatokea
Mzee Assey kakataa zawadi ya spacio aliyopewa na mkwe wake akidai hayo ni magari ya wendawazimu,
Kuna wazee hawana adabu kabisa ,
Kwani spacio ina tatizo gani kwa kutumika kama chombo cha usafiri?
Tuwe tunaangalia zawadi za kuwapa wazee waliojipatia pesa muda mrefu na ujana wao waliutumia vizuri kupambana na maisha yao,
Sijui mtoa zawadi ana Hali gani hadi muda huu?
Kazi ya gari ni kukutoa point A na kukupeleka point B kwa haraka. Haya ya mwonekano wa nje ni tatizo la saikolojia tu mkuu.Ila kwa ukweli wa moyo wangu... Shepu za Spacio, IST, Funcargo Raum. Kwangu hapana sijawahi panda hizo gari.. Nikikutana nalo njiani kuna hali inanikuta nahisi nimekutana na mnyama mwenye umbo la gari..
Hii comment nimecheka sana.. mnyama mwenye umbo la gari.Ila kwa ukweli wa moyo wangu... Shepu za Spacio, IST, Funcargo Raum. Kwangu hapana sijawahi panda hizo gari.. Nikikutana nalo njiani kuna hali inanikuta nahisi nimekutana na mnyama mwenye umbo la gari..