Lakini spacio ilivokaa basi tuLabda aliona unauwezo wakumpa v8 kwaio ameona ni dharau
Katamka wazi spacio wanamiliki wehu karudisha funguo kaondoka zakemzee kapiga vitochi kibao kichwa ipo muli muli
tena huu ndo msimu wenyewe
Hata mimi siielewi kabisa spacioLakini spacio ilivokaa basi tu
Mkwe ni mchaga mwenzake au chasaka???Ndio imeshatokea
Mzee Assey kakataa zawadi ya spacio aliyopewa na mkwe wake akidai hayo ni magari ya wendawazimu,
Kuna wazee hawana adabu kabisa ,
Kwani spacio ina tatizo gani kwa kutumika kama chombo cha usafiri?
Tuwe tunaangalia zawadi za kuwapa wazee waliojipatia pesa muda mrefu na ujana wao waliutumia vizuri kupambana na maisha yao,
Sijui mtoa zawadi ana Hali gani hadi muda huu?
Mume chasaka mke mchaga, balaa limeanzia hapoMkwe ni mchaga mwenzake au chasaka???
Mimi nikiona mtu anaendesha spacio hua naangalia pembeni Tu apiteHata mimi siielewi kabisa spacio
Unaweza shangaa huyo Chasaka hajapeleka kwao hata bajaji loohMume chasaka mke mchaga, balaa limeanzia hapo
Mwambieni huyo chasaka, asikanyage tena mji huo dadadeki.Mume chasaka mke mchaga, balaa limeanzia hapo
Na mtembea kwa miguu
Acha madharauMimi nikiona mtu anaendesha spacio hua naangalia pembeni Tu apite