Mzee wa kichaga kakataa zawadi ya spacio akidai ni magari ya wendawazimu,

Upo hu
ko mzee!
 
Kama huyo Mzee ni Mchaga kweli, akipewa Hilux double cabin 2700 za zamani asingechomoa. Wachaga na Hilux wana maagano. 😁
Kuna dingi mmoja ni Mangi yeye ana ma V8, ila anakwambia gari ni Hilux na Land Cruiser 1Hz. 😁
 
Ukitaka kumfurahisha mzee wa kichagga mpe gari kama hii.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…