Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Kwa hiyo tusiogope kufa na tuendelee kuusambaza na kuwaambukiza ndugu zako?Kwani kuna atakaye ishi milele jamani, kufa ni moja ya maisha, kwanini watu wanaogopa kufa wakati ndio part ya maisha ?
Ni unafiki kusema uogopi kufa.....