Obasanjo hawezi kuwa kaenda pale kama mzee mwenye influence kwenye siasa za Africa? Kama ndivyo je,haiwezekani kwamba the same applies kwa mwenye remote?
Huoni yupo na nani bega kwa bega hapo?Kwenu wajuzi, kuuliza si ujinga:
View attachment 3080797
Si kwa ubaya lakini.
Kwamba Kenyatta hayupo hapo ila huyu ndugu?
Wakamponza yule mzee wa Nigeria hadi akajikwaaHuoni yupo na nani bega kwa bega hapo?
Kweli na mimi nimeshangaa sana. Na hakuongea maneno mengi zaidi ya kusema yupo Rais atakayezungumza kwa niaba ya watanzania. Yeye ameenda kufanya Nini zaidi ya kuchezea Kodi zetu!?Kwenu wajuzi, kuuliza si ujinga:
View attachment 3080797
Si kwa ubaya lakini.
Kwamba Kenyatta ha
Attach files
yupo hapo ila huyu ndugu?
Matumizi mabaya ya pesa za walipa Kodi wa Tanzania kumhudumia akiwa safarini nje ya nchi,huku hospitali zikikosa madawa. Unless awe ametumia pesa zake mfukoni kujisaforisha pamoja na hotelihakuna masharti wala mipaka ya yeye kuwa pale
Umesahau ndiye mwenye remote ya mmoja wao?Kwenu wajuzi, kuuliza si ujinga:
View attachment 3080797
Si kwa ubaya lakini.
Kwamba Kenyatta hayupo hapo ila huyu ndugu?
Kama mtu maarufu Afrika.Kwenu wajuzi, kuuliza si ujinga:
View attachment 3080797
Si kwa ubaya lakini.
Kwamba Kenyatta hayupo hapo ila huyu ndugu?
Ni hovyo sana!Ila kaguta museven bwana anachekesha aisee sana chek alivyo kazeeka lkn madaraka wapi
Unafahamu na kumfahamu vyema Daktari Jakaya Mrisho Kikwete? Unafahamu kiwango cha ushawishi wake Barani Afrika na Duniani Kwote kwa ujumla? Unafahamu kuwa ni ushawishi wake dkt Kikwete uliyomfanya mpaka Dr Asha Rose Migiro akachaguliwa kuwa Naibu katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa?
Kwa hiyo hufahamu kuwa ni nguvu na ushawishi wa Mheshimiwa Dkt Kikwete uliomfanya Dr Asha Rose Migiro akachaguliwa kuwa Naibu katibu Mkuu wa umoja wa Mataifa?Kwamva Ban ki Moon alishawishiwa asema Lukasi? Wacha wee!