- Thread starter
- #21
Obasanjo hawezi kuwa kaenda pale kama mzee mwenye influence kwenye siasa za Africa? Kama ndivyo je,haiwezekani kwamba the same applies kwa mwenye remote?
Obasanjo hawezi kuwa kaenda pale Kwa niaba ya Tinubu kama wenye kumwakilisha Ndayishimiye na Kagame?