Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atambue kuwa ni home-boy wake kama Mwamposa na wale wenginePia amesema hawafahamiani sana zaidi ya kumuona kwenye Mtandao, na kipawa cha kuchekesha amepewa na Mungu.
Uko sahihiNi baada ya mgogo kuponda maombi ya kupokea magari, nyumba nk.
Mimi binafsi namuona Mzee wa Upako kama mlevi wa konyagi na kvant na sio mchungaji.
Nakazia, Mgogo amepiga panapouma.nasimama na Mchungaji mgogo watu wasidanganywe na wahubiri matapeli.
Sahihi...Ni baada ya mgogo kuponda maombi ya kupokea magari, nyumba nk.
Mimi binafsi namuona Mzee wa Upako kama mlevi wa konyagi na kvant na sio mchungaji.
sasa kwa mfano hii video hapo Lusekelo atuambie kosa la mchungaji Mgogo ni lipi?.
Mimi binafsi namuona Mzee wa Upako kama mlevi wa Konyagi tu. Ni mlevi mwenye kipaji kikubwa alichojaaliwa na Mungu.View attachment 2956280
Mzee wa Upako amesema yeye binafsi akimuangalia Mugogo anaona siyo Mhubiri wala Mwalimu bali ni Comedian (Mchekeshaji).
Pia amesema hawafahamiani sana zaidi ya kumuona kwenye Mtandao, na kipawa cha kuchekesha amepewa na Mungu.
Lusekelo ni mch wa mchongosasa kwa mfano hii video hapo Lusekelo atuambie kosa la mchungaji Mgogo ni lipi?.
eti Yanga Simba,,Yanga Simba🤣😅😂