Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
kamaindi mchungaji Mgogo anawasanua watu hakuna upako wa kupata mali huku umekaa hufanyi kazi,huo upako akuna ni utapeli tu.Lusekelo ni mch wa mchongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kamaindi mchungaji Mgogo anawasanua watu hakuna upako wa kupata mali huku umekaa hufanyi kazi,huo upako akuna ni utapeli tu.Lusekelo ni mch wa mchongo
Mgogo kaeleza ukweli, wao wakihitaji mali wanaomba michango na kufanya harambee ila waumimi wakihitaji wanaombewa.kamaindi mchungaji Mgogo anawasanua watu hakuna upako wa kupata mali huku umekaa hufanyi kazi,huo upako akuna ni utapeli tu.
janjajanja sana hawa kina Lusekelo.Mgogo kaeleza ukweli, wao wakihitaji mali wanaomba michango na kufanya harambee ila waumimi wakihitaji wanaombewa.
Wachungaji wengi ni janja janja mnojanjajanja sana hawa kina Lusekelo.
Mgogo na Hananja wana unafuu ila kasoro yao ni kuropoka hadi kupitiliza.Kuna yule mwamba mwingine boxer mstaafu..Mchungaji Hananja.
Nii Jiwe linalowauma wachungaji wengiNi baada ya mgogo kuponda maombi ya kupokea magari, nyumba nk.
Mimi binafsi namuona Mzee wa Upako kama mlevi wa konyagi na kvant na sio mchungaji.
Mkuu sisi walevi wa nyagi tumekukosea nini?Mimi binafsi namuona Mzee wa Upako kama mlevi wa Konyagi tu. Ni mlevi mwenye kipaji kikubwa alichojaaliwa na Mungu.
hahahahahaMkuu sisi walevi wa nyagi tumekukosea nini?
Mgogo anacheza na akili za watu kama wewe hapo, Nchi imejaaa wajinga tupu. Yeye ameona achugue ila sehemu raia wengi wanapenda, ila mwisho wa siku malengo yao yanafanana wote ni wajasiriamali, wanacheza na akili za wajinga.Mgogo kaeleza ukweli, wao wakihitaji mali wanaomba michango na kufanya harambee ila waumimi wakihitaji wanaombewa.
Hana akili yuke mzee.Ni baada ya mgogo kuponda maombi ya kupokea magari, nyumba nk.
Mimi binafsi namuona Mzee wa Upako kama mlevi wa konyagi na kvant na sio mchungaji.