Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wakati alisema elimu kwa mtoto wa kike sio lazimaMojawapo ya kipimo cha imani ya mtu ni pamoja na kukopa na kulipa deni kwa wakati au kabla ya wakati.
Sasa yeye anatetea wezi kwa njia ya ulaghai, majangili wanaokopa bila kulipa.
Huwa anachemka vibaya sana kwenye mafundisho yake.
Kifupi ni Kwamba huwa anabahatisha tu lakini sio halisi.
Na yeye mwenyewe mzee wa upako ni nani??Yupo sahihi
Mgogo ni comedian
Tony kapola sio mchungaji ni motivation speaker
Hawa wawili wote wanafanya kazi halali ila mwaposya ni tapeli
Bondia?Kuna yule mwamba mwingine boxer mstaafu..Mchungaji Hananja.
Bora mgogo yeye si mlevi tu kama walevi wengine
Mzee wa Upako amesema yeye binafsi akimuangalia Mugogo anaona siyo Mhubiri wala Mwalimu bali ni Comedian (Mchekeshaji).
Pia amesema hawafahamiani sana zaidi ya kumuona kwenye Mtandao, na kipawa cha kuchekesha amepewa na Mungu.
Bondia?
Kwahiyo akaona uchungaji ndio unalipaNdiyo..alichawahi kuwa Bondia..fuatilia anavyoelezea historia ya maisha yake..ame hangaika Sana.
Kuna wakati alisema elimu kwa mtoto wa kike sio lazima
Huyu ndo mwehu kabisa 😅😅😅
Yes Yesu anajiita ni chakulq cha uzima, acha watu wamle YesuWote wawili wanatumia biblia kujinufaisha
🤣 🤣 🤣
Mzee wa Upako amesema yeye binafsi akimuangalia Mugogo anaona siyo Mhubiri wala Mwalimu bali ni Comedian (Mchekeshaji).
Pia amesema hawafahamiani sana zaidi ya kumuona kwenye Mtandao, na kipawa cha kuchekesha amepewa na Mungu.
🙏Mtu akisema ukweli mnamwita mchekeshaji.
Kila fanani ana njia yake ya kufikisha ujumbe kwa hadhira bhana.
Mara mia mgogo anakupa uhalisia !
Ila utapeli wa maji na mafuta na kumsukuma mtu kwa lazima ili aanguke hapana.
🤔😀Yupo sahihi
Mgogo ni comedian
Tony kapola sio mchungaji ni motivation speaker
Hawa wawili wote wanafanya kazi halali ila mwaposya ni tapeli
🤣 🤣 🤣Ni baada ya mgogo kuponda maombi ya kupokea magari, nyumba nk.
Mimi binafsi namuona Mzee wa Upako kama mlevi wa konyagi na kvant na sio mchungaji.
Namkubali sana huyu MCHUNGAJI.
Mzee wa Upako amesema yeye binafsi akimuangalia Mugogo anaona siyo Mhubiri wala Mwalimu bali ni Comedian (Mchekeshaji).
Pia amesema hawafahamiani sana zaidi ya kumuona kwenye Mtandao, na kipawa cha kuchekesha amepewa na Mungu.