Mzee wa Upako: Mgogo siyo Mchungaji, ni Mchekeshaji mwenye Kipaji

Mzee wa Upako: Mgogo siyo Mchungaji, ni Mchekeshaji mwenye Kipaji

Ingawa mzee wa upako ni mshenzi ila huyu mgogo naye huwa anavuka mipaka kwa kuropoka. Kuna clip yake alidai kuwa elimu kwa mtoto wa kike sio lazima. Toka hiyo siku nilimwona Mgogo naye ni mpuuzi. Kimsingi hawa wachungaji wote ni matapeli wanaotumia biblia.
Jamaa kuna vitu vingi analopokaga, wakati wa Magufuri aliwahi kumponda Lisu tangu siku hio sitakagi kumsikia, kuna mambo anaelezeaga unaona kabidmsa yana mzidi uwezo ila ndio anakomaa kueleza. Sasa wajinga huwa hawachambui. Hata yale maelezo yake ya kikokotoo unaona kabisa hakuna anacho jua.

Ancho mfanya mgogo ni kutafuta sana huruma, amewekeza sana hapo, na anacheza na akili za watu kutengeneza emotional.
 

Mzee wa Upako amesema yeye binafsi akimuangalia Mugogo anaona siyo Mhubiri wala Mwalimu bali ni Comedian (Mchekeshaji).

Pia amesema hawafahamiani sana zaidi ya kumuona kwenye Mtandao, na kipawa cha kuchekesha amepewa na Mungu.
Sawa... Mgogo ni comedian , wewe tukiiteje ..kulingana na tabia zako , Tapeli , Mlevi au mzinzi !
 
Mgogo anacheza na akili za watu kama wewe hapo, Nchi imejaaa wajinga tupu. Yeye ameona achugue ila sehemu raia wengi wanapenda, ila mwisho wa siku malengo yao yanafanana wote ni wajasiriamali, wanacheza na akili za wajinga.
Afadhali huyo mgogo anaeeleza ukweli, sio hao wengine wa kutoa shuhuda za kupata gari, nyumba na kiwanja ndani ya wiki ilihali hawana kazi yeyote wafanyayo.
 
Unapokea magari kutoka kwenye majukwaa au kwa kufanya kazi?
Mgogo yuko sahihi,tufanye kazi.
Kama kuombewa,basi Sala na ibada zetu zilenge kubariki kazi za mikono yetu ili zizae matunda kama magari,nyumba n.k.
 
Hao wote ni wahuni tu wanatumia kivuli cha dini ili waishi kiulaini.
 
Bora nimsikilize mgogo ataniburudisha kuliko kumsikiliza mlevi wa konyagi anayewatapeli watu na kununua magari ya kifahari.

Lusekelo kuchele, zee linapiga konyagi kama mwehu.
 
Jamaa kuna vitu vingi analopokaga, wakati wa Magufuri aliwahi kumponda Lisu tangu siku hio sitakagi kumsikia, kuna mambo anaelezeaga unaona kabidmsa yana mzidi uwezo ila ndio anakomaa kueleza. Sasa wajinga huwa hawachambui. Hata yale maelezo yake ya kikokotoo unaona kabisa hakuna anacho jua.

Ancho mfanya mgogo ni kutafuta sana huruma, amewekeza sana hapo, na anacheza na akili za watu kutengeneza emotional.
Mgogo kweli ni comedian na ana uwezo mdogo sana wa kuchambua mambo.
 

Mzee wa Upako amesema yeye binafsi akimuangalia Mugogo anaona siyo Mhubiri wala Mwalimu bali ni Comedian (Mchekeshaji).

Pia amesema hawafahamiani sana zaidi ya kumuona kwenye Mtandao, na kipawa cha kuchekesha amepewa na Mungu.


Ni kweli.
Maana anaongeaga mambo kiasi cha kushangaza.
Mfano kutetea waliokopa Hela za watu bila kulipa kwa wakati kwa kadiri walivyokubaliana hivi hiyo ni akili?
Badala ya kusisitiza uadilifu na uaminifu yeye anafurahia utapeli , wizi wa kuaminiwa?!
 

Mzee wa Upako amesema yeye binafsi akimuangalia Mugogo anaona siyo Mhubiri wala Mwalimu bali ni Comedian (Mchekeshaji).

Pia amesema hawafahamiani sana zaidi ya kumuona kwenye Mtandao, na kipawa cha kuchekesha amepewa na Mungu.

Mojawapo ya kipimo cha imani ya mtu ni pamoja na kukopa na kulipa deni kwa wakati au kabla ya wakati.
Sasa yeye anatetea wezi kwa njia ya ulaghai, majangili wanaokopa bila kulipa.

Huwa anachemka vibaya sana kwenye mafundisho yake.
Kifupi ni Kwamba huwa anabahatisha tu lakini sio halisi.
 
Back
Top Bottom