Mzee wa Upako na Dudu Baya mmelidharau bunge la Tanzania

Mzee wa Upako na Dudu Baya mmelidharau bunge la Tanzania

Ndiyo yaleyale! Mwafrika(hasa sisi weusi) ni kiumbe wa ovyo kabisa! Mtu akiwa na madaraka uwa anajiona ni special sana hivyo hataki kukosolewa na akikosolewa anafikiria kutumia vitisho kunyamazisha watu!
 
Pale mbona hamna bunge, hivi ulipata kuliona bunge la pius msekwa, samuel sitta au anna makinda kweli? Mabunge yale yalikua yanaisimamia serikali hili bunge la sasa la kuipongeza na kuipamba serikali hakuna mtanzania mwenye akili timamu anayelitaka kulisikia
Ilikuwa si mchezo,kila mtu anakaa kwenye TV analifatilia
Sahv ukifungulia bunge watu hawana habari nalo sana sana watafungulia chanel za wakata mauno na kuangalia tamthiliya za kituruki Korea

Ova
 
Pale mbona hamna bunge, hivi ulipata kuliona bunge la pius msekwa, samuel sitta au anna makinda kweli? Mabunge yale yalikua yanaisimamia serikali hili bunge la sasa la kuipongeza na kuipamba serikali hakuna mtanzania mwenye akili timamu anayelitaka kulisikia
Sitta alikuwa moto wa kuotea mbali.
Hata mimi siangalii bunge la sasa.
 
Leo sijui kumetokea nn kwenye mitandao Ya kijamii yaani clipu fupi fupi za mzee wa upako na dudu baya wakitema nyongo zao juu ya bunge hili la spika Tulia

Mzee wa upako yeye alifika mbali kwa ssa hivi yeye hawezi kupoteza muda wake kulitazama bunge hili , kwani wabunge waliopo hawajui lolote na "mawazo yao ni yale yale akitoka haPa anaishi hapa so hakuna kitu" alisema mzee wa upako. Alifika mbali akasema wazi wazi kuwa bunge alilokuwa analitizama ni la spika Samuel sita na ana makinda alisema llikuwa bunge La viwango na kasi na kulikuwa hakuna kutekana hvyo

Yeye dudu baya ameamka asbh na kisha kuanza kuwashambulia wa bunge wenye elimu ndogo ya darasa la saba akisema hawana wajualo akitaka ifike mahali wafukuzwe au liundwe bunge La seneti lenye wabunge wasomi wote hasa wanasheria na wa nao juwa katiba

Kwa kauli hzo ni kwamba wamelidharau muhimili mwingine wa dola na hvyo wakamatwe wahojiwe kwenye kamati ya maadili na madarak ya bunge ni dharau Kubw sana wameonesha kwa spika na waziri mkuu na Mawaziri wote, spika tulia ni kiongozi wa mabunge yote duniani 😂😂😂
mtu asiyelidharau bunge naye anapswa kudharauliwa
 
Leo sijui kumetokea nn kwenye mitandao Ya kijamii yaani clipu fupi fupi za mzee wa upako na dudu baya wakitema nyongo zao juu ya bunge hili la spika Tulia

Mzee wa upako yeye alifika mbali kwa ssa hivi yeye hawezi kupoteza muda wake kulitazama bunge hili , kwani wabunge waliopo hawajui lolote na "mawazo yao ni yale yale akitoka haPa anaishi hapa so hakuna kitu" alisema mzee wa upako. Alifika mbali akasema wazi wazi kuwa bunge alilokuwa analitizama ni la spika Samuel sita na ana makinda alisema llikuwa bunge La viwango na kasi na kulikuwa hakuna kutekana hvyo

Yeye dudu baya ameamka asbh na kisha kuanza kuwashambulia wa bunge wenye elimu ndogo ya darasa la saba akisema hawana wajualo akitaka ifike mahali wafukuzwe au liundwe bunge La seneti lenye wabunge wasomi wote hasa wanasheria na wa nao juwa katiba

Kwa kauli hzo ni kwamba wamelidharau muhimili mwingine wa dola na hvyo wakamatwe wahojiwe kwenye kamati ya maadili na madarak ya bunge ni dharau Kubw sana wameonesha kwa spika na waziri mkuu na Mawaziri wote, spika tulia ni kiongozi wa mabunge yote duniani 😂😂😂
Wakwa hiyo washikwe kwa kutoa maoni yao????
 
kwani walichosema ni uongo? kimsingi hakuna Bunge pale ni kikundi cha wahuni wachache wanakula kodi za watanzania tu bure bila tija yoyote ile.
 
Hivi walitumia kigozo cha degree ya Ujinga kumpa iko cheo cha Raisi wa Wabunge au walizingatia mwili?

Wazungu wana akili sana ukiona mtu mweusi wanampa cheo amin wamedhamilia kumtumia.
 
Leo sijui kumetokea nn kwenye mitandao Ya kijamii yaani clipu fupi fupi za mzee wa upako na dudu baya wakitema nyongo zao juu ya bunge hili la spika Tulia

Mzee wa upako yeye alifika mbali kwa ssa hivi yeye hawezi kupoteza muda wake kulitazama bunge hili , kwani wabunge waliopo hawajui lolote na "mawazo yao ni yale yale akitoka haPa anaishi hapa so hakuna kitu" alisema mzee wa upako. Alifika mbali akasema wazi wazi kuwa bunge alilokuwa analitizama ni la spika Samuel sita na ana makinda alisema llikuwa bunge La viwango na kasi na kulikuwa hakuna kutekana hvyo

Yeye dudu baya ameamka asbh na kisha kuanza kuwashambulia wa bunge wenye elimu ndogo ya darasa la saba akisema hawana wajualo akitaka ifike mahali wafukuzwe au liundwe bunge La seneti lenye wabunge wasomi wote hasa wanasheria na wa nao juwa katiba

Kwa kauli hzo ni kwamba wamelidharau muhimili mwingine wa dola na hvyo wakamatwe wahojiwe kwenye kamati ya maadili na madarak ya bunge ni dharau Kubw sana wameonesha kwa spika na waziri mkuu na Mawaziri wote, spika tulia ni kiongozi wa mabunge yote duniani 😂😂😂
hawajaongea uongo kuhusu huo muhili ambao haujitegemei,bunge letu n dhaifu
 
Leo sijui kumetokea nn kwenye mitandao Ya kijamii yaani clipu fupi fupi za mzee wa upako na dudu baya wakitema nyongo zao juu ya bunge hili la spika Tulia

Mzee wa upako yeye alifika mbali kwa ssa hivi yeye hawezi kupoteza muda wake kulitazama bunge hili , kwani wabunge waliopo hawajui lolote na "mawazo yao ni yale yale akitoka haPa anaishi hapa so hakuna kitu" alisema mzee wa upako. Alifika mbali akasema wazi wazi kuwa bunge alilokuwa analitizama ni la spika Samuel sita na ana makinda alisema llikuwa bunge La viwango na kasi na kulikuwa hakuna kutekana hvyo

Yeye dudu baya ameamka asbh na kisha kuanza kuwashambulia wa bunge wenye elimu ndogo ya darasa la saba akisema hawana wajualo akitaka ifike mahali wafukuzwe au liundwe bunge La seneti lenye wabunge wasomi wote hasa wanasheria na wa nao juwa katiba

Kwa kauli hzo ni kwamba wamelidharau muhimili mwingine wa dola na hvyo wakamatwe wahojiwe kwenye kamati ya maadili na madarak ya bunge ni dharau Kubw sana wameonesha kwa spika na waziri mkuu na Mawaziri wote, spika tulia ni kiongozi wa mabunge yote duniani 😂😂😂
Wako sahihi wana haki ya kutoa maoni yao....Bunge la sasa ni GENGE LA WAHUNI WANAOJALI MIFUMO YAO YA KWENDA HAJA KUBWA...🙂🙂🙂
 
kama kupita kwenye kura wameanza wenyewe kukiri dhambi zao kwamba walikuwa wanaiba kura...sasa hapo kuna akili ipo bungeni pale? au kuna kundi la majambazi?
BUNGE NI GENGE LA WAHUNI....KULA BIA....CHOMA NYAMA...NA KUPIGANA MIKASI..
 
Leo sijui kumetokea nn kwenye mitandao Ya kijamii yaani clipu fupi fupi za mzee wa upako na dudu baya wakitema nyongo zao juu ya bunge hili la spika Tulia

Mzee wa upako yeye alifika mbali kwa ssa hivi yeye hawezi kupoteza muda wake kulitazama bunge hili , kwani wabunge waliopo hawajui lolote na "mawazo yao ni yale yale akitoka haPa anaishi hapa so hakuna kitu" alisema mzee wa upako. Alifika mbali akasema wazi wazi kuwa bunge alilokuwa analitizama ni la spika Samuel sita na ana makinda alisema llikuwa bunge La viwango na kasi na kulikuwa hakuna kutekana hvyo

Yeye dudu baya ameamka asbh na kisha kuanza kuwashambulia wa bunge wenye elimu ndogo ya darasa la saba akisema hawana wajualo akitaka ifike mahali wafukuzwe au liundwe bunge La seneti lenye wabunge wasomi wote hasa wanasheria na wa nao juwa katiba

Kwa kauli hzo ni kwamba wamelidharau muhimili mwingine wa dola na hvyo wakamatwe wahojiwe kwenye kamati ya maadili na madarak ya bunge ni dharau Kubw sana wameonesha kwa spika na waziri mkuu na Mawaziri wote, spika tulia ni kiongozi wa mabunge yote duniani 😂😂😂
Alichofharau ni kipi hapo!!??
Huyo dudu bwisye au upakobwisye
 
Sio la Tanzania tu, mm nipoteza muda kuwaangalia watu wa siasa ili iweje. Wanaboronga tunapambana na matokeo, akili inakomaa.
 
Back
Top Bottom