Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hakuna kula ugali Leo,na Hela ya bando hupati
Dooh aaah sio kweli wewe, lazima ningeshajua tu.Kitakacho kuuma zaidi ni siku utakayogundua yuko na JF anajiita cocastic
Mshua nimemwambia bwana Deo Corleone lakini naona bado habadiliki, naona kama anakuwa anajishushia heshima kwa kiasi fulani.Sasa si umwambie?
Humu wataishia tu kumnanga mshua
Hii kitu itakuwa ni addiction au ni Nini? Maana naona sasa kuacha hawezi.Mzee huwa ananitumia meme inbox [emoji23][emoji23][emoji23] Aaah
Huyu ni mzee, ana'range 60s...Yaani vijana wanaona uzee kama ugonjwa au ulemavu....... unaweza kukuta mtu mwenyewe anayeitwa mzee hata miaka 70 hana.......
Vijana wajue kuwa uzee ni hali tu ya kuongeka na kuchoka mwili.....lakini nafsi haizeeki...... kutokana na umri Kuna mambo tu unajizuia kuyafanya kutokana na taswira yako kwenye jamii iliyokuzunguka......
Reverse psychologyHii kitu itakuwa ni addiction au ni Nini? Maana naona sasa kuacha hawezi.
Simple & clearAmevunja sheria?
Amemtukana mtu?
Mwache afurahi