Mzee wangu anapost sana memes mtandaoni!

Mzee wangu anapost sana memes mtandaoni!

Mkuu wewe jikite kutafuta hela. Wazazi huwa wanasikiliza watoto wenye wapo vizuri kifedha. Kama hauna hela hauwezi kumshauri anaona kama una msongo wa mawazo na unataka kumalizia stress zako kwake.

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
😅😅😅😅 baba katisha sana. Hebu tupe baadhi ya memes anazopost tuone
 
Mkuu wewe jikite kutafuta hela. Wazazi huwa wanasikiliza watoto wenye wapo vizuri kifedha. Kama hauna hela hauwezi kumshauri anaona kama una msongo wa mawazo na unataka kumalizia stress zako kwake.
Naikubari asilimia 100.
 
Mkuu wewe jikite kutafuta hela. Wazazi huwa wanasikiliza watoto wenye wapo vizuri kifedha. Kama hauna hela hauwezi kumshauri anaona kama una msongo wa mawazo na unataka kumalizia stress zako kwake.
🤣🤣Anaona anamfanyia fujo tu
 
Una shida sana wewe
Umenitukana PM umeona haitoshi bado unaendelea.
Wewe ni kama kijambo kwenye upepo unapita shwaaa usinichoshe na matusi yako laana sumaka wewe.
nimekutukana wapi wee boya?hivi unaakili kweli wewe?
ndiomana huolewi.🤣
 
Mwache mzee mwenzangu bana, enzi zetu haya mambo hayakuwepo, alafu ningemfaham nadhani ningemuunga mkono kumpa na link ya memes za kutosha tu.

Sometimes mtu hana makundi, halewi, hana kajumba 2 nk, anaona bora huu muda na kiinua mgongo awe anacheka kwa hiyo style.

Angekuwa na vile nimetaja hapo juu pia lazima ungeleta uzi kuuliza vijana wenzako wazee wenu wanaishije huko?.
Umenena vyema Mkubwa.
 
Kama Hapost maudhui ya Ngono wala picha za nusu utupuu wew ndo mwenye tatizo hapoo...!! Kuna kipindi nilisev namba ya uncle wangu flani yule anapost mpaka wanawake wenye mikalioo wanachezaa wakikatikaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani nilikuwa nashangaa sanaa
 
Back
Top Bottom