Mzee wangu anapost sana memes mtandaoni!

Mzee wangu anapost sana memes mtandaoni!

Nikijaribu kumwambia, "Sasa father kuna baadhi ya vitu saivi unatakiwa upunguze kupost mtandaoni", ataishia ku-reply kwa emoji za kucheka halafu cha kushangaza atanitumia na mimi vimeme viwili vitatu au stickers zile za kuchekesha basi.


🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wacha Mzee ajipe rahaa
 
Mimi sina noma na huyu mzee, lakini bwana father kazidisha kwakweli. Yeye hakuna meme au video ya kuchekesha inampita lazima ataiweka status tu, yaani hadi sometimes watu wangu wa karibu wenye namba yake wanakuwa wanascreen shot vitu vya ajabu alivyo'post mzee wangu na kunitumia huku wakiambatanisha na mshangao au kicheko!

Kwani huyu mzee ana shida gani lakini!? Mbona smart phone kanza kutumia kitambo sana tu. Yaani hapitwi na tukio lolote mzee wangu lazima ataliapload tu, na muda wote yeye status zake WhatsApp hazikauki hakuna tukio limetrend Bongo limempita father.

Nikijaribu kumwambia, "Sasa father kuna baadhi ya vitu saivi unatakiwa upunguze kupost mtandaoni", ataishia ku-reply kwa emoji za kucheka halafu cha kushangaza atanitumia na mimi vimeme viwili vitatu au stickers zile za kuchekesha basi.

Ni kweli kabisa kuna vingine vinachekesha sana lakini inabidi apunguze ukizingatia na umri wake umeshakwenda, naamini hata humu JF kuna baadhi ya wanajukwaa wana namba yake na watakuwa wanaenjoy sana memes zake lake jaribuni kumshauri na ninyi mzee wangu apunguze kidogo anajishusha ananishusha na mimi mwanaye.

Ramadan Mubarak.
Maisha yake
Furaha yake.
 
Nikijaribu kumwambia, "Sasa father kuna baadhi ya vitu saivi unatakiwa upunguze kupost mtandaoni", ataishia ku-reply kwa emoji za kucheka halafu cha kushangaza atanitumia na mimi vimeme viwili vitatu au stickers zile za kuchekesha basi.


[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wacha Mzee ajipe rahaa
[emoji28][emoji28] acha tu!
 
acha umalaya

Una shida sana wewe
Umenitukana PM umeona haitoshi bado unaendelea.
Wewe ni kama kijambo kwenye upepo unapita shwaaa usinichoshe na matusi yako laana sumaka wewe.
 
Mimi sina noma na huyu mzee, lakini bwana father kazidisha kwakweli. Yeye hakuna meme au video ya kuchekesha inampita lazima ataiweka status tu, yaani hadi sometimes watu wangu wa karibu wenye namba yake wanakuwa wanascreen shot vitu vya ajabu alivyo'post mzee wangu na kunitumia huku wakiambatanisha na mshangao au kicheko!

Kwani huyu mzee ana shida gani lakini!? Mbona smart phone kanza kutumia kitambo sana tu. Yaani hapitwi na tukio lolote mzee wangu lazima ataliapload tu, na muda wote yeye status zake WhatsApp hazikauki hakuna tukio limetrend Bongo limempita father.

Nikijaribu kumwambia, "Sasa father kuna baadhi ya vitu saivi unatakiwa upunguze kupost mtandaoni", ataishia ku-reply kwa emoji za kucheka halafu cha kushangaza atanitumia na mimi vimeme viwili vitatu au stickers zile za kuchekesha basi.

Ni kweli kabisa kuna vingine vinachekesha sana lakini inabidi apunguze ukizingatia na umri wake umeshakwenda, naamini hata humu JF kuna baadhi ya wanajukwaa wana namba yake na watakuwa wanaenjoy sana memes zake lake jaribuni kumshauri na ninyi mzee wangu apunguze kidogo anajishusha ananishusha na mimi mwanaye.

Ramadan Mubarak.
Live and let live!
Udijiendekeze kwamba huwezi kuishi dunia moja na baba yako.
 
Hujui tu hiyo ndio njia ya kupona presha na sukari mwache hebu mwambie atume na humu tuone
 
Mimi sina noma na huyu mzee, lakini bwana father kazidisha kwakweli. Yeye hakuna meme au video ya kuchekesha inampita lazima ataiweka status tu, yaani hadi sometimes watu wangu wa karibu wenye namba yake wanakuwa wanascreen shot vitu vya ajabu alivyo'post mzee wangu na kunitumia huku wakiambatanisha na mshangao au kicheko!

Kwani huyu mzee ana shida gani lakini!? Mbona smart phone kanza kutumia kitambo sana tu. Yaani hapitwi na tukio lolote mzee wangu lazima ataliapload tu, na muda wote yeye status zake WhatsApp hazikauki hakuna tukio limetrend Bongo limempita father.

Nikijaribu kumwambia, "Sasa father kuna baadhi ya vitu saivi unatakiwa upunguze kupost mtandaoni", ataishia ku-reply kwa emoji za kucheka halafu cha kushangaza atanitumia na mimi vimeme viwili vitatu au stickers zile za kuchekesha basi.

Ni kweli kabisa kuna vingine vinachekesha sana lakini inabidi apunguze ukizingatia na umri wake umeshakwenda, naamini hata humu JF kuna baadhi ya wanajukwaa wana namba yake na watakuwa wanaenjoy sana memes zake lake jaribuni kumshauri na ninyi mzee wangu apunguze kidogo anajishusha ananishusha na mimi mwanaye.

Ramadan Mubarak.
Samahani mkuu,
Matumizi ya neno mzee yananichanganya sana.
Ninavyofahamu mimi ni;
1 Mzee=Mtu mwenye umri mkubwa+umvi ama analingana na baba yako/babu yako.
2 Mme wako.

Wewe una maanisha lipi kati ya hayo?

Naziweka shukurani zangu hapa chini.
 
Mwache mzee mwenzangu bana, enzi zetu haya mambo hayakuwepo, alafu ningemfaham nadhani ningemuunga mkono kumpa na link ya memes za kutosha tu.

Sometimes mtu hana makundi, halewi, hana kajumba 2 nk, anaona bora huu muda na kiinua mgongo awe anacheka kwa hiyo style.

Angekuwa na vile nimetaja hapo juu pia lazima ungeleta uzi kuuliza vijana wenzako wazee wenu wanaishije huko?.
 
Back
Top Bottom