Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
- Thread starter
- #21
Ni kweli. Makosa yakifanywa upande wa bara, ache yafanywe na mtu wa bara, yatavumilika zaidi2025 tuwe makini, tupate Rais Mtanganyika, hata kama ni zezeta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli. Makosa yakifanywa upande wa bara, ache yafanywe na mtu wa bara, yatavumilika zaidi2025 tuwe makini, tupate Rais Mtanganyika, hata kama ni zezeta.
LIssu alisema tanganyika ilivaa joho la tanzania kwa amri ya mwalimu nyerereInatia aibu sana Mkuu (embarrassing), haichekeshi!
Katiba inaruhusuNi kweli. Makosa yakifanywa upande wa bara, ache yafanywe na mtu wa bara, yatavumilika zaidi
Sio kila kitu kinachowekwa kwenye Katiba ni halali au kinafaa, ndio maana katiba hubadilishwa kila wakati.Katiba inaruhusu
Tubadili katiba kwanza kama ni hivo. Kwa sababu Samia bado yupo sana unless chama chake kimzingue lakini akishaingia kwenye ballot, hisyoria ya uchaguzi itaendelea kujirudia tu kwa hali iliyopo currently labda mambo yabadilike kuqnzia mwakaniSio kila kitu kinachowekwa kwenye Katiba ni halali au kinafaa, ndio maana katiba hubadilishwa kila wakati.
Nawaza mpaka najiona nimekuwa BLADIFAKENI.View attachment 3124713
Ona pia
Inahitaji akili kubwa kiasi gani kuelewa kwamba kwa kuwa Zanzibar wana serikali na Rais wao, Rais wa Tanzania, kimsingi, ni Rais wa bara?
Si kosa CHADEMA kuingia katika uchaguzi mkuu 2025 na sera kwamba wakishinda uchaguzi watahakikisha Tanganyika wanapata serikali yao ndani ya muungano
Je waziri mkuu ni wa Muungano au Tanganyika?
TAnganyika is dead, labda useme "bara"Yaani Tanganyika yenye watu zaidi ya milioni 60 inatawaliwa na Wazanzibar yenye watu chini ya milioni 3!
NANI AMETULOGA SISI WATANGANYIKA?
God Bless Tanganyika
Katika thread, hasa hii hapaTubadili katiba kwanza kama ni hivo. Kwa sababu Samia bado yupo sana unless chama chake kimzingue lakini akishaingia kwenye ballot, hisyoria ya uchaguzi itaendelea kujirudia tu kwa hali iliyopo currently labda mambo yabadilike kuqnzia mwakani
Nadhani CCM ndio wachawi wetu. Jambo la msingi ni watu kuelewa kwamba ni Watanzania bara wanaoamua nani awe raisi wa Tanzania, katika hiyo ratio ya 60:3 milioni. Sasa kuna baadhi ya wenzetu huku bara uchawi wa CCM umewaingia sana. Sijui tuwatoeje hilo limbwata walilolishwa na CCM, maana hawajielewi hawajitambui!Yaani Tanganyika yenye watu zaidi ya milioni 60 inatawaliwa na Wazanzibar yenye watu chini ya milioni 3!
NANI AMETULOGA SISI WATANGANYIKA?
God Bless Tanganyika
Ni kosa la kikatiba, ambapo hatukutarajia raisi kutoka Tanzania bara anaweza kufa akiwa madarakani na makamu wa raisi toka Zanzibar akawa raisi wa Tanzania, katika mazingira ambayo raisi wa Tanzania ni raisi wa Tanzania bara (Tanganyika)Serikali inayoitwa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kiuhalisia ni serikali ya Tanganyika lakini cha ajabu tunatawaliwa na Mzanzibari!
maoni yako yapo sawa tu, ila busara kwenye siasa bongo hapa? Issue ya jecha vp? ilitumika busara gani, hapo 2020? Mambonya kudhania busara ndo yale ya sisi wananchi kukaa kusubiri ccm itoe tume huru. Hawatoitoa kusubiri wao wafanye bisara hiyo ni uongoKatika thread, hasa hii hapa
Inahitaji akili kubwa kiasi gani kuelewa kwamba kwa kuwa Zanzibar wana serikali na Rais wao, Rais wa Tanzania, kimsingi, ni Rais wa bara?
nimeeleza wazi kwamba sio kosa kikatiba kwa raisi Samia kugombea uraisi 2025. Ana haki ya kikatiba kufanya hivyo, lakini itakuwa jambo la busara, kutokana na mazingira yaliyopo, kwa raisi Samia kujitoa kwenye mbio za uraisi 2025, na kisha tutafaanya mabadiliko ya Katiba ili kuanzia sasa suala la raisi wa Tanzania libaki kuwa la mtu toka Tanzania bara, isipokuwa kama tutakubali muungano wa serikali tatu.
Kutotumia busara na hekima hapa maana yake itumike nguvu, aidha ya wananchi mitaani kama ilivyokuwa Misri, Tunisia nk, au mapinduzi ya kijeshi, kama Burkina Faso au Niger. Sasa ndicho tunachotaka kweli?maoni yako yapo sawa tu, ila busara kwenye siasa bongo hapa? Issue ya jecha vp? ilitumika busara gani, hapo 2020? Mambonya kudhania busara ndo yale ya sisi wananchi kukaa kusubiri ccm itoe tume huru. Hawatoitoa kusubiri wao wafanye bisara hiyo ni uongo
Lugha sahihi tutumie "ndo kinachojitajika". Unless tuendelee kusubiri miujiza. Swali dogo mkuu hili zoezi la uandikishaji unalifatilia habari zake? Unaona kuna chance ya wao kuyumia busaraKutotumia busara na hekima hapa maana yake itumike nguvu, aidha ya wananchi mitaani kama ilivyokuwa Misri, Tunisia nk, au mapinduzi ya kijeshi, kama Burkina Faso au Niger. Sasa ndicho tunachotaka kweli?
Tabu ni Mzee Nyerere mwenyewe.Muungano wenywe ni fake tangu mwanzo leo ndio Mzee Warioba unaona?
Uwezekano ni mdogo sana. Tayari kuna matukio ya udanganyifu mengi yameripotiwa, yakifanywa na watu wa chama tawalaLugha sahihi tutumie "ndo kinachojitajika". Unless tuendelee kusubiri miujiza. Swali dogo mkuu hili zoezi la uandikishaji unalifatilia habari zake? Unaona kuna chance ya wao kuyumia busara
Ni ukosefu wa akili tu,Rais ni kama binadamu wengine tu anaweza kufa au kuumwa kiasi cha kupoteza uwezo wake wa kuongozaNi kosa la kikatiba, ambapo hatukutarajia raisi kutoka Tanzania bara anaweza kufa akiwa madarakani na makamu wa raisi toka Zanzibar akawa raisi wa Tanzania, katika mazingira ambayo raisi wa Tanzania ni raisi wa Tanzania bara (Tanganyika)