Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwani hiyo corona inachagua watu wa kuwapata?Mh. Warioba amesema hayo akihojowa na Mobali wa BBC. Hivyo amesema hajui kura ya maoni itafanyika lini kutokana na janga la Corona.
Mbona Shaka anafanya vikao kila uchaao?