Autodidacts
JF-Expert Member
- Jun 9, 2021
- 1,165
- 1,804
Maupambavu mengine haya! Mbona uchaguzi mkuu tulipiga kura?Mh. Warioba amesema hayo akihojowa na Mobali wa BBC. Hivyo amesema hajui kura ya maoni itafanyika lini kutokana na janga la Corona.
Akili za viongozi hawa ata mtoto wa std3 anawazidi.