Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo 2020 corona haikuwepo wakati wa uchaguzi mkuu ?
Unazungumzia kipindi cha jpm? Nimapapai yalikua nayoKwa hiyo 2020 corona haikuwepo wakati wa uchaguzi mkuu ?
Ushaanza upumbavu wakoNitashangaa CCM wakikubali hii kitu wakati wamesema Katiba Mpya sio kipaumbele chao
Sound 😝😝Waziri mkuu mstaafu Jaji Warioba anasema kimsingi Rais Samia anakubali kwamba Katiba mpya inahitajika lakini siyo sasa kutokana na changamoto zilixopo.
Kwa mfano kwenye katiba mpya ni lazima ipigwe kura ya maoni lakini kwa hii changamoto ya Corona haitawezekana
Source: BBC Dira ya Dunia!
Wanadhani watamuonea Samia,hakuna Katiba mpya hadi ccm waamue.Upuuzi mtupu, wazee walikuwa wapi wakati jiwe akitamalaki kama mfalme kwenye Jamuhuri?
Hao wazee mbona wameshindwa kumaliza umaskini uliokithiri kwa miongo sita?
Umeonaeeee?Nikikumbuka issue ya COVID 19 nacheka sana sana
Hawa watu uwezo wao wa kuamua na kutenda ni 0Na SENSA 2022 haitakuwepo? Mwambie ASITUTANIE AROO.
Maskini ni wewe tu Yoda ambaye umekaa kwenye JF utarajia maisha yataunyokea bila kujishughulisha na uchumi.Upuuzi mtupu, wazee walikuwa wapi wakati jiwe akitamalaki kama mfalme kwenye Jamuhuri?
Hao wazee mbona wameshindwa kumaliza umaskini uliokithiri kwa miongo sita?
Upuuzi mtupuMh. Warioba amesema hayo akihojowa na Mobali wa BBC. Hivyo amesema hajui kura ya maoni itafanyika lini kutokana na janga la Corona.
Corona wakati watu tunajazana kwenye madaladala kila siku bila barakoa?Waziri mkuu mstaafu Jaji Warioba anasema kimsingi Rais Samia anakubali kwamba Katiba mpya inahitajika lakini siyo sasa kutokana na changamoto zilixopo.
Kwa mfano kwenye katiba mpya ni lazima ipigwe kura ya maoni lakini kwa hii changamoto ya Corona haitawezekana
Source: BBC Dira ya Dunia!
Mwaka 2020 tulipiga kura, tena kabla ya kupiga kura kulikuwa na kampeni nchi nzima karibia mwezi mzima Je Corona haikuwepo? Na je Mwaka 2025 kama bado itakuwepo hatutapiga Kura? Au Corona huwa inapenda zaidi kushambulia watu kwenye kura za katiba?Waziri mkuu mstaafu Jaji Warioba anasema kimsingi Rais Samia anakubali kwamba Katiba mpya inahitajika lakini siyo sasa kutokana na changamoto zilixopo.
Kwa mfano kwenye katiba mpya ni lazima ipigwe kura ya maoni lakini kwa hii changamoto ya Corona haitawezekana
Source: BBC Dira ya Dunia!
Siasa za east Africa bwana wao ni Kenya jambo lolote linalofanyika Kenya ujue na Bongo litakuja tu hata kama litachelewa lkn mwisho litakuja pamoja na Uganda .Katiba itakuja ,urai picha Utakuja , tume huru ya uchaguzi itakuja na serikali tatu zitakuja ni muda tu .wenzetu wakenya walipofika hapo kabla ya katiba haijaazwa kutumika ilipitishwa tena kwenye kamati ya watu sita, watatu walitoka Kenya na watatu walitoka nje ya Kenya akiwemo koffi anani. wao waliipitia upya ile katiba kuangalia vifungu vinavyojibu maslahi ya wananchi sio uongozi uliopo, kwaiyo walipitia kila kifungu ndio hiyo katiba ya Kenya iliyopo
Kweli sound tu.Waziri mkuu mstaafu Jaji Warioba anasema kimsingi Rais Samia anakubali kwamba Katiba mpya inahitajika lakini siyo sasa kutokana na changamoto zilixopo.
Kwa mfano kwenye katiba mpya ni lazima ipigwe kura ya maoni lakini kwa hii changamoto ya Corona haitawezekana
Source: BBC Dira ya Dunia!
Maskini ni wewe tu Yoda ambaye umekaa kwenye JF utarajia maisha yataunyokea bila kujishughulisha na uchumi.