Kama hawa wabunge ww Mwendazale nao ni waheshimiwa?Mzee wetu Waziri Mkuu Mstaafu Joseph Sinde Warioba amesema kulazimisha watu wakuite wewe kuwa ni mheshimiwa mbunge, mheshimiwa waziri ,mheshimiwa diwani huko ni kuweka matabaka kwenye jamii ya watanzania.
Hii inapingana na Naibu Spika alivyogombana na Mbunge wa Mbeya Mjini Mbilinyi. Tulia alilazimisha kuitwa Mheshimiwa Naibu Spika
Hakika mzee Warioba ni tegemeo la watanzania kwa busara.
Chanzo dakika 45 itv.
Wakati Mzee Waryoba akiwa PM, au? Kwa hiyo Utukufu na Uheshimiwa umeasisiwa yeye akiwa PM?Acha uwongo. Nyerere hakuwa anaitwa mtukufu Rais. Alikuwa akiitwa Ndugu Rais. Kenya walikuwa wanamwita mtukufu Rais Arap Moi, wote watanzania tulikuwa tunashangaa. Wakati huo nikiwa chipukizi, nilimvisha Mwalimu skafu mara 2, mara zote nilimwita Ndugu Rais ..... Mwinyi ndiye kwa mara ya kwanza aliitwa Mtukufu Rais, na wabunge wakajiita waheshimiwa.
Marhum Ndugu speaker....ataropoka huko kutoa onyo kali....Muda sio mrefu spika Ndugai ataibuka kutaka kumpa onyo kali kwa hiyo kauli.
Tz tuna spika wa ajabu, mwenye file kule Milembe.
Hahahahahahaha wanavyopenda kuabudiwa sasa hawawezi kukubali kabisa.Mzee wetu Waziri Mkuu Mstaafu Joseph Sinde Warioba amesema kulazimisha watu wakuite wewe kuwa ni mheshimiwa mbunge, mheshimiwa waziri ,mheshimiwa diwani huko ni kuweka matabaka kwenye jamii ya watanzania.
Hii inapingana na Naibu Spika alivyogombana na Mbunge wa Mbeya Mjini Mbilinyi. Tulia alilazimisha kuitwa Mheshimiwa Naibu Spika
Hakika mzee Warioba ni tegemeo la watanzania kwa busara.
Chanzo dakika 45 itv.
Siku moja Tulia akawa anamlazimisha Sugu amuite mh naibu spika nilidhani ni sheria kumbe wapi ni vapour tu.sahihi kwa 100%, wanasiasa akishaitwa mheshimiwa tayari anajiona yeye ni mtu maalum sana wakati kiuhalisia ni tofauti.
kuna watu kibao huku kitaa wapo smart sana kichwani kuliko hako kakikundi kanakoongozwa na Ndugai pale Dodoma!
Hajitambui lkn tayari alishasema kuwa ana faili mirembe.Ni uqendawazimu mtu kutaka uotwe mheshimiwa. Sasa mtunkama Ndugai, ambaye kika mwenye akili anamdhaharau kutokana na unafiki wake, hata akiitwa mheshimiwa ndiyo ataheshimiwa? Si atabakia zuzu tu kama alivyo?
Unataka kusema kuwa mzee Warioba leo anayaongea haya kwakuwa hana kitu?Nakumbuka wakati wa Mwalimu hakukuwa na neno Mheshimiwa kwa mtu yeyote, viongozi wote walikuwa wakiitwa Ndugu kasoro Rais ambaye alikuwa pia akiitwa Mtukufu Rais! Baada ya Mwalimu Nyerere kutoka madarakani, ukaibuka mjadala Bungeni Wabunge wakitaka waitwe Waheshimiwa (Honorable). Mwalimu alipinga lakini wakamwambia mbona Uingereza wanaitwa Honorable. Wakapitisha sheria wakaanza kuitana Waheshimiwa. Siyo wakati wa akina Waryoba kweli?? Tafuta wazee watukumbushe. Ila wakati Waryoba ni PM Rais wake alikuwa akiitwa Mtukufu Rais, na Mzee sikumsikia akisema kitu kwa kuwa labda alikuwa na kitu.
Mtukufu ilikuwa ni enzi za Mzee Ruksa. Nyerere hakuwa akitumia title ya MtukufuNakumbuka wakati wa Mwalimu hakukuwa na neno Mheshimiwa kwa mtu yeyote, viongozi wote walikuwa wakiitwa Ndugu kasoro Rais ambaye alikuwa pia akiitwa Mtukufu Rais! Baada ya Mwalimu Nyerere kutoka madarakani, ukaibuka mjadala Bungeni Wabunge wakitaka waitwe Waheshimiwa (Honorable). Mwalimu alipinga lakini wakamwambia mbona Uingereza wanaitwa Honorable. Wakapitisha sheria wakaanza kuitana Waheshimiwa. Siyo wakati wa akina Waryoba kweli?? Tafuta wazee watukumbushe. Ila wakati Waryoba ni PM Rais wake alikuwa akiitwa Mtukufu Rais, na Mzee sikumsikia akisema kitu kwa kuwa labda alikuwa na kitu.
Na ndivyo ilivyokuwa, haya mambo kuitwa 'mheshimiwa' yalianzishwa kipindi cha Mwinyi huku naye Mwinyi akawa akiitwa 'mtukufu' rais lakini Mkapa ilivyoingia hiyo ya kuitwa 'mtukufu rais' akaikataa.Amesema enzi za mwalimu yeye akiwa ni waziri mkuu viongozi walikuwa wanaitwa ndugu au mwananchi.
Nyerere hakuwahi kuitwa 'mtukufu rais', hiyo ya kuitana 'mtukufu' ilianzishwa wakati wa awamu ya pili.Nakumbuka wakati wa Mwalimu hakukuwa na neno Mheshimiwa kwa mtu yeyote, viongozi wote walikuwa wakiitwa Ndugu kasoro Rais ambaye alikuwa pia akiitwa Mtukufu Rais! Baada ya Mwalimu Nyerere kutoka madarakani, ukaibuka mjadala Bungeni Wabunge wakitaka waitwe Waheshimiwa (Honorable). Mwalimu alipinga lakini wakamwambia mbona Uingereza wanaitwa Honorable. Wakapitisha sheria wakaanza kuitana Waheshimiwa. Siyo wakati wa akina Waryoba kweli?? Tafuta wazee watukumbushe. Ila wakati Waryoba ni PM Rais wake alikuwa akiitwa Mtukufu Rais, na Mzee sikumsikia akisema kitu kwa kuwa labda alikuwa na kitu.
Very sureMuda sio mrefu spika Ndugai ataibuka kutaka kumpa onyo kali kwa hiyo kauli.
Tz tuna spika wa ajabu, mwenye file kule Milembe.