Mzee Warioba: Siyo lazima Mbunge aitwe Mheshimiwa

Kama hawa wabunge ww Mwendazale nao ni waheshimiwa?
 
Wakati Mzee Waryoba akiwa PM, au? Kwa hiyo Utukufu na Uheshimiwa umeasisiwa yeye akiwa PM?
 
Hahahahahahaha wanavyopenda kuabudiwa sasa hawawezi kukubali kabisa.
 
sahihi kwa 100%, wanasiasa akishaitwa mheshimiwa tayari anajiona yeye ni mtu maalum sana wakati kiuhalisia ni tofauti.

kuna watu kibao huku kitaa wapo smart sana kichwani kuliko hako kakikundi kanakoongozwa na Ndugai pale Dodoma!
 
sahihi kwa 100%, wanasiasa akishaitwa mheshimiwa tayari anajiona yeye ni mtu maalum sana wakati kiuhalisia ni tofauti.

kuna watu kibao huku kitaa wapo smart sana kichwani kuliko hako kakikundi kanakoongozwa na Ndugai pale Dodoma!
Siku moja Tulia akawa anamlazimisha Sugu amuite mh naibu spika nilidhani ni sheria kumbe wapi ni vapour tu.

Leo mzee kawavua nguo sijui kama Ndugaye hatompiga mkwara mbuzi
 
Ni uqendawazimu mtu kutaka uotwe mheshimiwa. Sasa mtunkama Ndugai, ambaye kika mwenye akili anamdhaharau kutokana na unafiki wake, hata akiitwa mheshimiwa ndiyo ataheshimiwa? Si atabakia zuzu tu kama alivyo?
Hajitambui lkn tayari alishasema kuwa ana faili mirembe.
 
Unataka kusema kuwa mzee Warioba leo anayaongea haya kwakuwa hana kitu?
 
Mtukufu ilikuwa ni enzi za Mzee Ruksa. Nyerere hakuwa akitumia title ya Mtukufu
 
Nyerere hakuwahi kuitwa 'mtukufu rais', hiyo ya kuitana 'mtukufu' ilianzishwa wakati wa awamu ya pili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…