Hakika hawa watu wanataka kujikweza bila kuwa na sifa hizo.Mbona viongozi wa dini anaitwa kwa Cheo Chao kisha jina.
Mf: Mchungaji D, Askofu D, shehe D nk.
Kwani Hawa wabunge tusiwaite Mb. K na sio kulazimisha tuanze na Mheshimiwa wakati wengine hawana hiyo heshima
Uko sahihi. Miaka ya 1990s Waryoba alikuwa alikuwa mbunge wa jimbo la Bunda kabla ya kuenguliwa mahakamani na Stephene Wasira wa NCCR wakati huo. Kipindi hicho wabunge walikuwa wameshaanza kuitwa waheshimiwa. Wasira alimunyang'anya uheshimiwa Waryoba baada ya kushinda mahakamani kesi ya uchaguzi mkuu kwenye jimbi la Bunda.Nakumbuka wakati wa Mwalimu hakukuwa na neno Mheshimiwa kwa mtu yeyote, viongozi wote walikuwa wakiitwa Ndugu kasoro Rais ambaye alikuwa pia akiitwa Mtukufu Rais! Baada ya Mwalimu Nyerere kutoka madarakani, ukaibuka mjadala Bungeni Wabunge wakitaka waitwe Waheshimiwa (Honorable).
Mwalimu alipinga lakini wakamwambia mbona Uingereza wanaitwa Honorable. Wakapitisha sheria wakaanza kuitana Waheshimiwa. Siyo wakati wa akina Waryoba kweli?? Tafuta wazee watukumbushe. Ila wakati Waryoba ni PM Rais wake alikuwa akiitwa Mtukufu Rais, na Mzee sikumsikia akisema kitu kwa kuwa labda alikuwa na kitu.
Hapana, Nina uchovu wa kumuandalia mwamba makaoAu bado una uchovu mara baada ya kutoka burigi kulinda kaburi?
Unapomuita mtu"MHESHIMIWA" unakuwa umejiridhisha kuwa anastahili heshima kwa jinsi anavyoendesha maisha yake katika jamii anayoishi!! Heshima haiombwi bali hutengenezwa na muhusika.Mtu aliyepewa cheo na wananchi ni mheshimiwa na ni vyema kupewa heshima yake hiyo! Mbunge amechaguliwa na wananchi kwahiyo ni mheshimiwa, mwenyekiti wa kijiji amechaguliwa na wananchi ni mheshimiwa pia! Gar la mbunge likipita linapeperusha bendera askari anarakiwa kuipigia salut bendera! Tuache wivu!
Mwinyi aliitwa Mtukufu Rais, Mkapa ndio akakataa hiyo title.Si kweli kuwa hapa Tanzania Rais alikuwa akiitwa Mtukufu! Ni Kenya Rais Mzee Kenyatta alikuwa akiitwa Mtukufu lakini hapa Tanzania tulimwita Ndugu Rais Nyerere.
Sikumbuki Waryoba kulipinga hilo. Waryoba alikuwa na madaraka angeweza kuyatumia kulizuia. Hata Mwalimu nadhani aliacha tu, angetaka angelizuia. Kumbuka aliweza kuzuia G55 ya akina Njelu Kassaka asingeshindwa kuzuia huu uheshimiwa japo kwa muda.Warioba ndiyo kundi la Nyerere ambao walipinga but walishindwa na hilo kundi la wengi..
Hiyo vita yao haijawahi kuisha!Uko sahihi. Miaka ya 1990s Waryoba alikuwa alikuwa mbunge wa jimbo la Bunda kabla ya kuenguliwa mahakamani na Stephene Wasira wa NCCR wakati huo. Kipindi hicho wabunge walikuwa wameshaanza kuitwa waheshimiwa. Wasira alimunyang'anya uheshimiwa Waryoba baada ya kushinda mahakamani kesi ya uchaguzi mkuu kwenye jimbi la Bunda.
Halafu mbaya zaidi ni pale ambapo wala hujamuajiri (hujampigia kura) kaingia zake kimagumashi then anakomaa umuite muheshimiwaaa khaaa...Yaani mtu/mbunge umwajiri wewe mwananchi kupitia kura yako halafu umwite mheshimiwa? Khaa
Wivu upo wapi hapo
Naona unapenda kuabudu binadamu wenzakoMtu aliyepewa cheo na wananchi ni mheshimiwa na ni vyema kupewa heshima yake hiyo! Mbunge amechaguliwa na wananchi kwahiyo ni mheshimiwa, mwenyekiti wa kijiji amechaguliwa na wananchi ni mheshimiwa pia! Gar la mbunge likipita linapeperusha bendera askari anarakiwa kuipigia salut bendera! Tuache wivu!
Na wake zao pia ni waheshimiwa. Niliwasikia wakisema "Karibu Sana Mheshimiwa Mama Mwenyekiti wa Kijiji".Mtu aliyepewa cheo na wananchi ni mheshimiwa na ni vyema kupewa heshima yake hiyo! Mbunge amechaguliwa na wananchi kwahiyo ni mheshimiwa, mwenyekiti wa kijiji amechaguliwa na wananchi ni mheshimiwa pia! Gar la mbunge likipita linapeperusha bendera askari anarakiwa kuipigia salut bendera! Tuache wivu!
🙏Nakubaliana na wewe kwa 100%