careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,652
Tofautisha mbunge na huyo smart wako wa mtaan!sahihi kwa 100%, wanasiasa akishaitwa mheshimiwa tayari anajiona yeye ni mtu maalum sana wakati kiuhalisia ni tofauti.
kuna watu kibao huku kitaa wapo smart sana kichwani kuliko hako kakikundi kanakoongozwa na Ndugai pale Dodoma!