Chifu mkuu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2025
- 422
- 489
Nenda Kongo uone kama Wana barabara nzuri kama za kwetu!Ulimwengu waleo unaongelea barabara kwamba ndo maendelea miaka 60 ya uhuru!
Waulize madereva wa malori yanayokwenda Kongo barabara za Kongo zina hali gani?!
Hapo Kenya tu barabara nzuri zipo Nairobi na kidogo Mombasa lakini ukienda mikoa mingine hali ya barabara zinatisha!
Moja ya mambo ya kumshukuru Mungu kwa TZ ni neema ya amani na utulivu tulionao!
Tungekuwa katika vita ya wenyewe hata haya maendeleo ambayo nyinyi mnayaona ni kiduchu yasingekuwepo!
Wengi wetu muda huu tungekuwa kwenye kambi za wakimbizi sijui za nchi gani tukiwategemea UNHCR watusaidie unga wa mahindi ya njano na maharage!
CCM imeisha fanya maendeleo makubwa na bado inaendelea kufanya mambo makubwa.
Leo Mh Rais Samia akiwa Kariakoo kaahidi ndani ya kipindi kifupi kijacho kujenga soko jingine kubwa kama la Kariakoo maeneo ya jangwani, hayo yote ni maendeleo yanayoletwa na CCM.
CCM HOYYEEE!