Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali ya LEBANONI imekataza wa IRAN kuingia lebanon.....Huko Lebanon IDF asifikiri ni Gaza, atarajie surprise za kutosha
Hata Gaza napo Israeli waliambiwa watauliwa wote.Sijajua ilikuaje?Huko Lebanon IDF asifikiri ni Gaza, atarajie surprise za kutosha
Subiri uone kinachotokea! IDF sio Houth au Hamas bro. Lile ni elite Army sio kundi la panzi kama hayo makundi mengineHuko Lebanon IDF asifikiri ni Gaza, atarajie surprise za kutosha
Ila wateule wasiivamie Lebanon Hezbollah ni more organized na discipline terror organisation ukilinganisha na magaidi Hamas. Watapoteza wanajeshi wengi sana. Ila all the best.Isarael any time soon anafanya ground invasion ndani ya Lebanon. Hapo Hezbollah ndo watajua hadithi za 2006 zilikuwa mtego ili wajisahau
Photos: Israel deploys tanks near Lebanon border
[Menahem Kahana/AFP]
[Menahem Kahana/AFP]
[Menahem Kahana/AFP]![]()
Serikali ya Lebanon haihodhi Lebanon yote.Serikali ya LEBANONI imekataza wa IRAN kuingia lebanon.....
Guess what is next
Hawajapata mateka Gaza,wana uhitaji wa wanajeshi wengine sababu wengi ni majeruhi na vifoSubiri uone kinachotokea! IDF sio Houth au Hamas bro. Lile ni elite Army sio kundi la panzi kama hayo makundi mengine
Waingie deep kabisa kiasi ndege zisiwe na msaada, hapo akili lazima zirukeHezbollar naona ndiyo kitu walikuwa wanatafuta, IDF aingie kwa miguu Lebanon, wawashikishe adabu kama ule mwaka. Na Gaza wapumue kidogo.
Ila tu wasije wakatumia wanawake na watoto kama Ngao zao, maana hakuna kitakachoachwa. Kama kweli wamedhamiria kupigana kiume, wawaweke kando wanawake na watoto. Bomu au kombora halijui nani mwanamke au nani mtoto!Kila la kheri Hezbollah.
hii ndo kitu tunataka tuone uteule wa mchongoIsarael any time soon anafanya ground invasion ndani ya Lebanon. Hapo Hezbollah ndo watajua hadithi za 2006 zilikuwa mtego ili wajisahau
Photos: Israel deploys tanks near Lebanon border
[Menahem Kahana/AFP]
[Menahem Kahana/AFP]
[Menahem Kahana/AFP]![]()
Wanajua hayo yote na mengine zaidi ila wameamua kwenda, subiri mrejesho wa fieldHawajapata mateka Gaza,wana uhitaji wa wanajeshi wengine sababu wengi ni majeruhi na vifo
Mimi nimewatakia kheri tu jeshi la Hizbu dhidi ya walowezi wa kizayuni.Ila tu wasije wakatumia wanawake na watoto kama Ngao zao, maana hakuna kitakachoachwa. Kama kweli wamedhamiria kupigana kiume, wawaweke kando wanawake na watoto. Bomu au kombora halijui nani mwanamke au nani mtoto!
Serikali ya Lebanon haijakataza WaIran kuingia Lebanon.Serikali ya LEBANONI imekataza wa IRAN kuingia lebanon.....
Guess what is next
Bora hao Hizbollah tena Houthi Israel HAWAWEZI KABBISSA.Subiri uone kinachotokea! IDF sio Houth au Hamas bro. Lile ni elite Army sio kundi la panzi kama hayo makundi mengine
Suprise ..? 😁😁😁😁😁Huko Lebanon IDF asifikiri ni Gaza, atarajie surprise za kutosha