Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkeka wote umetimia, now tusubiri Hezbollah 2.0
Israel imeisaidia sana Serikali ya Lebanon
Wauwane , wasaganeIsarael any time soon anafanya ground invasion ndani ya Lebanon. Hapo Hezbollah ndo watajua hadithi za 2006 zilikuwa mtego ili wajisahau
Photos: Israel deploys tanks near Lebanon border
[Menahem Kahana/AFP]
[Menahem Kahana/AFP]
[Menahem Kahana/AFP]![]()
lebanon ilikuwa nchi bora sana, na iliyoendelea, mabenki mengi duniani yaliwekeza pale ikawa kama senta ya uchumi middle east, wengi waliita Paris of the middle east, kwasababu hata mfaransa alishawahi kutawala pale hivyo aliwekeza sana pale, lakini huyu mbuzi ilipoingia, ikasaidianana PLO wapalestina kuua wakristo na kuanzisha siasa kali kwasababu tu ya udini, lebanon ikageuka kuwa failed state ambayo none state actor (muasi) ndiye anatawala pamoja na serikali kuu. serikali ya lebanon haikua na uwezo wala say yeyote kwa hezbollah.Israel imeisaidia sana Serikali ya Lebanon
Emwenyezi Mungu ulilinde jeshi tukufu la wana wako Israel asife mtu. AmenIsarael any time soon anafanya ground invasion ndani ya Lebanon. Hapo Hezbollah ndo watajua hadithi za 2006 zilikuwa mtego ili wajisahau
Photos: Israel deploys tanks near Lebanon border
[Menahem Kahana/AFP]
[Menahem Kahana/AFP]
[Menahem Kahana/AFP]![]()
Hakuna vita rahisi.Vita ya ardhini sio rahisi kama unavyo fikiri.
Israel imebakiza viongozi wa Kisiasa tu.Lebanon najua haiwapendi Hezbollah maana wanaitia hasara, sema ndo hivyo washafuga jini na hawana nguvu ya kuliondoa. Watakuwa wanaishukuru Israel kimyakimya
Mwizi anakimbizwa kimyakimyaSerikali ya LEBANONI imekataza wa IRAN kuingia lebanon.....
Guess what is next
Hezbola hawana uungwaji mkono na jamii yote ya Lebanon tofauti na Gaza. Hapa vita ni rahisi kuliko Gaza. Gaza Hamas inaungwa mkono na jamii kubwa so hata uwezo wa kujificha kwenye nyumba za watu ulikua mkubwa. Hawa Hezbola ukiangalia hata viongozi wao walivyouawa unaona kabisa washasalitiwa mapema sana.Huko Lebanon IDF asifikiri ni Gaza, atarajie surprise za kutosha
Asante msemaji mkuu wa serikali ya Lebanon,ila wabongo sasa mpo much know sana wa mambo ya nchi za watu,wakati kwenu bado kuna uozo.Serikali ya Lebanon haijakataza WaIran kuingia Lebanon.
Waziri wa anga wa Lebanon alitoa tamko Iran isipeleke ndege kwasasa Beirut baada ya IDF kudukua communication tower ya kuongoza ndege.
Usiwe unapotosha taarifa.
Unajia nini Bantu Lady ? Nimeku reply ili ujue tu kiwa nipo na nakufuatilia comments zako, ila sitakujibu kwa sababu I have a special respect kwako, so nitaendelea kuwakung'uta hawa wengine bila huruma. Ponapona yao labda waiibe ID yako halafu wawe wana comment kwa kutumia hiyoHezbollar naona ndiyo kitu walikuwa wanatafuta, IDF aingie kwa miguu Lebanon, wawashikishe adabu kama ule mwaka. Na Gaza wapumue kidogo.
Hakuna chochote.Ila wateule wasiivamie Lebanon Hezbollah ni more organized na discipline terror organisation ukilinganisha na magaidi Hamas. Watapoteza wanajeshi wengi sana. Ila all the best.
Eti USA kawashindwa, mwaka mzima meli za USA na UK zipo hapo mashariki ya kati na wanashindwa kuzizamisha wanaishia kuzijeruhi tu na Bado zipo, kipigo cha Israel si sawa na hao marekani, Israel ikipiga hadi UN wenyewe wanashangaaBora hao Hizbollah tena Houthi Israel HAWAWEZI KABBISSA.
USA mwenyewe kawashindwa.
Ndio nini sasa umeandika, kwamba hujui maana ya kufyatua bikra amaKufyatua bikra ??
Una maanisha nini , naomba kufahamu
Aluta continua
Inawezekana, ngoja niangalie uungwaji mkono wao huko Lebanon upo vpHezbola hawana uungwaji mkono na jamii yote ya Lebanon tofauti na Gaza. Hapa vita ni rahisi kuliko Gaza. Gaza Hamas inaungwa mkono na jamii kubwa so hata uwezo wa kujificha kwenye nyumba za watu ulikua mkubwa. Hawa Hezbola ukiangalia hata viongozi wao walivyouawa unaona kabisa washasalitiwa mapema sana.