puzo255
Senior Member
- Jul 2, 2024
- 183
- 655
Bado hamjustuka tu Myaudi habahatishi anakochokifanya? Hamtaki kabisa kuamini amejipanga kuvimaliza nguvu hivyo vikundi?Waingie deep kabisa kiasi ndege zisiwe na msaada, hapo akili lazima ziruke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hamjustuka tu Myaudi habahatishi anakochokifanya? Hamtaki kabisa kuamini amejipanga kuvimaliza nguvu hivyo vikundi?Waingie deep kabisa kiasi ndege zisiwe na msaada, hapo akili lazima ziruke
Mmeanza tena kuwapa kichwa wkt daily wanachenyetwa tu viongoz waoIla wateule wasiivamie Lebanon Hezbollah ni more organized na discipline terror organisation ukilinganisha na magaidi Hamas. Watapoteza wanajeshi wengi sana. Ila all the best.
Unawaonea choyo mabikra wenzio au wanaenda kufaidiKama naona hekaheka za huko peponi... Saiv wako busy kufyatua bikra za kutosha, mzigo mpya wa vijana wa itikadi kali unakaribia kuingia
Elite gani zaidi ya mwaka wanapigana hawana walipo fikia mateka wamekomboa Sita mwaka mzima idf bora panya roadSubiri uone kinachotokea! IDF sio Houth au Hamas bro. Lile ni elite Army sio kundi la panzi kama hayo makundi mengine
Subiri uone kama atavimaliza nguvuBado hamjustuka tu Myaudi habahatishi anakochokifanya? Hamtaki kabisa kuamini amejipanga kuvimaliza nguvu hivyo vikundi?
Broo umevuka mipaka,HAKUNA WATU WAJINGA DUNIANI ZAIDI YA WAKRISTO.Mtu mwenye akili hawezi kumshabikia mtu au watu waliomuua Mungu wako,halafu pia mwenye akili hawezi kumuamini Mungu aliyesurubiwa na kuuwawa.Maislamu hua majinga sana kwamba Hezbollah walikua wanataka viongozi wao wote wauliwe ili Israel waingie Lebanon ?! Shame to this bitch silly brain
Mkuu huna maono mengine juu ya taifa?!..achana na hiyo mipopoma inayopiga magoti mbele ya sanamu la zege na mpingo yakiliomba,na bado yanajiona yana akiliBroo umevuka mipaka,HAKUNA WATU WAJINGA DUNIANI ZAIDI YA WAKRISTO.Mtu mwenye akili hawezi kumshabikia mtu au watu waliomuua Mungu wako,halafu pia mwenye akili hawezi kumuamini Mungu aliyesurubiwa na kuuwawa.
Subiri uone kama atavimaliza nguvu
Watu hawashabikii dini. Kwanini wanataka kuwafuta Wayahudi duniani?Broo umevuka mipaka,HAKUNA WATU WAJINGA DUNIANI ZAIDI YA WAKRISTO.Mtu mwenye akili hawezi kumshabikia mtu au watu waliomuua Mungu wako,halafu pia mwenye akili hawezi kumuamini Mungu aliyesurubiwa na kuuwawa.
Hata kama ingekua kweli kuna helicopter crash Iran,hiyo inapunguza vipi nguvu za hayo makundi!?Helikopta iliyobeba viongozi wa Iran na Houthi imepata ajali
Ripoti zinaongelea kuhusu ajali ya helikopta magharibi mwa Iran, ikiwa imebeba viongozi wa Iran na Wahouthi. Hakuna taarifa rasmi kuhusu idadi ya waliofariki au kujeruhiwa kwa sasa kwani uchunguzi unaendelea. BREAKING: IRANIAN HELICOPTER CRASH WITH TOP LEADERS ON BOARD Reports are coming in...www.jamiiforums.com
Israel sio mtu mzuri aisee, hawa wakina Hizbullah wanapaswa kuwa na silaha muhimu kama Air defense , vinginevyo hali ni mbaya sanaIsarael any time soon anafanya ground invasion ndani ya Lebanon. Hapo Hezbollah ndo watajua hadithi za 2006 zilikuwa mtego ili wajisahau
Photos: Israel deploys tanks near Lebanon border
[Menahem Kahana/AFP]
[Menahem Kahana/AFP]
[Menahem Kahana/AFP]![]()
US sio mtu mzuri kabisa yale mabomu aliowapa Israel yanaweza mtoa chatu shimoniMtasema aisee hakuna takataka hapo middle east ya kumsumbua US au israel kwa sasa haipo. Labda wawe hawajaaamua. Sasa now wameamua kama mbwai iwe mbwai barida
Sasa viongozi wote hawapo hii imekaaje🤣?
Sema mpaka sasa Israel anaicontrol mzee tower yao.Serikali ya Lebanon haijakataza WaIran kuingia Lebanon.
Waziri wa anga wa Lebanon alitoa tamko Iran isipeleke ndege kwasasa Beirut baada ya IDF kudukua communication tower ya kuongoza ndege.
Usiwe unapotosha taarifa.
Hiyo Avatar ni wewe?Hezbollar naona ndiyo kitu walikuwa wanatafuta, IDF aingie kwa miguu Lebanon, wawashikishe adabu kama ule mwaka. Na Gaza wapumue kidogo.
Kushindwa kwa USA 🇺🇸 sio kwa Israel 🇮🇱Bora hao Hizbollah tena Houthi Israel HAWAWEZI KABBISSA.
USA mwenyewe kawashindwa.
Asharudi sema we hujamuona tuBINAFSI NATAMANI SANA YESU ARUDI
Na round hii hawataki utan unajileta wanakupa haki yakoUS sio mtu mzuri kabisa yale mabomu aliowapa Israel yanaweza mtoa chatu shimoni
Wakati anaenda Gaza maneno yalikuwa meeengi! Ila wote tumeonaHuko Lebanon IDF asifikiri ni Gaza, atarajie surprise za kutosha