Mzigo wa vita waielemea Israel na huku wakisindikizwa na mawe wakati wakirejea nyuma.

Mzigo wa vita waielemea Israel na huku wakisindikizwa na mawe wakati wakirejea nyuma.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Hali ya vita inazidi kuwa mbaya kwa Israel kiasi kwamba wamelazimika kuondoa vikosi vyake kadhaa kutoka uwanja wa vita.
Sababu kuu inayotajwa ni kuporomoka kwa uchumi wa nchi hiyo kiasi kwamba hakuna tena mafungu ya kuwahudumia askari walio mstari wa mbele.Sababu nyengine isiyowekwa wazi na nchi hiyo ni hasara za kivita na kuporomoka ari ya kupigana ya askari hao.
Hapo juzi jeshi la Israel lilitangaza vifo vya askari 25 ikiwa ni matokeo ya kupigana wenyewe kulikotajwa ni kimakosa.
Upande wa ukingo wa magharibi nako hali ni ya kutisha ambapo wapiganaji wa kipalestina wameongeza nguvu katika kujibu mapigo ya jeshi la Israel..Baada ya mashambulizi yaliyodumu usiku kucha kwenye kambi ya Qalqilya asubuhi kulishuhudiwa maeneo kadhaa yakiwaka moto na huku askari wa IDF wakikimbia na kusindikizwa na warusha mawe.
 
Jeshi la wateule ni jeshi la kipekee Sana wakati majeshi mengine duniani yakitafuta ushindi vitani kwa kupambana na wanajeshi wenzao wao wana sifiwa kwa kutafuta ushindi kwa kuuwa vichanga hospitalini.
Unapotaka kuangamiza ukoo wa panya angamiza na mazalia yake.

Huwezi kupambana na kunguni halafu unaacha mayai Yao.

Cc: MK254
 
Taqbir, tupe idadi ya vifo vya Wapalestina.

Siamini kama Uislamu na ujinga ni mapacha.
Waliokufa ni zaidi 22000.Wengi wao ni watoto wachanga na akinamama na wazee.
Hakuna hata Hamas mmoja aliyeuliwa ukiondoa dhana za IDF na hakuna mateka aliyekombolewa na Hamas inaendelea kupigana pamoja na kuzuiliwa kupata chakula na maji.
 
Waliokufa ni zaidi 22000.Wengi wao ni watoto wachanga na akinamama na wazee.
Hakuna hata Hamas mmoja aliyeuliwa ukiondoa dhana za IDF na hakuna mateka aliyekombolewa na Hamas inaendelea kupigana pamoja na kuzuiliwa kupata chakula na maji.
Sasa Acha Isiraili atokomoze mazalia ya magaidi wa Kesho.

Kweli Hamas kiboko hajafa hata mmoja?

Huko misikitini huwa mnakwenda kuswali au kufundishwa ujinga? Kabisa unajiaminisha hili?
 
Sasa Acha Isiraili atokomoze mazalia ya magaidi wa Kesho.

Kweli Hamas kiboko hajafa hata mmoja?

Huko misikitini huwa mnakwenda kuswali au kufundishwa ujinga? Kabisa unajiaminisha hili?
Misikitini huwa ni pahala pa kila aina shida za kidunia na pahala pa kuabudu.Vitu vyote kwa waislamu ni ibada.
Hata tukipatwa na shida na hofu huwa tunakimbilia huko kwa kutaraji kupata usalama.
Wakristo nao mumetuiga waislamu badala ya kwenda kuimba kwaya pekee na nyinyi mumekimbilia kanisani Gaza na mayahudi hakuwawacha salama kama ilivyo kwetu.
 
Misikitini huwa ni pahala pa kila aina shida za kidunia na pahala pa kuabudu.Vitu vyote kwa waislamu ni ibada.
Hata tukipatwa na shida na hofu huwa tunakimbilia huko kwa kutaraji kupata usalama.
Wakristo nao mumetuiga waislamu badala ya kwenda kuimba kwaya pekee na nyinyi mumekimbilia kanisani Gaza na mayahudi hakuwawacha salama kama ilivyo kwetu.

Ni kweli Israel wamemuuwa kamanda wa jeshi la Iran?
 
Hali ya vita inazidi kuwa mbaya kwa Israel kiasi kwamba wamelazimika kuondoa vikosi vyake kadhaa kutoka uwanja wa vita.
Sababu kuu inayotajwa ni kuporomoka kwa uchumi wa nchi hiyo kiasi kwamba hakuna tena mafungu ya kuwahudumia askari walio mstari wa mbele.Sababu nyengine isiyowekwa wazi na nchi hiyo ni hasara za kivita na kuporomoka ari ya kupigana ya askari hao.
Hapo juzi jeshi la Israel lilitangaza vifo vya askari 25 ikiwa ni matokeo ya kupigana wenyewe kulikotajwa ni kimakosa.
Upande wa ukingo wa magharibi nako hali ni ya kutisha ambapo wapiganaji wa kipalestina wameongeza nguvu katika kujibu mapigo ya jeshi la Israel..Baada ya mashambulizi yaliyodumu usiku kucha kwenye kambi ya Qalqilya asubuhi kulishuhudiwa maeneo kadhaa yakiwaka moto na huku askari wa IDF wakikimbia na kusindikizwa na warusha mawe.
Habari bila picha ni sawa na hadithi za mtume mohammad🤣🤣🤣🤣
 
Sasa kama jwtz walikuwa wanaenda israel kwenye mafunzo inabidi watafute nchi nyingne ya kwenda kama comandoo wao wenyewe ndio hawa wanapgwa na mgambo hakuna kitu huko.
Kabisaaa
Ipo siku nchi hii itakua under attack kama ndio waalimu wenyewe ndio hao
Israhell wanachojua wao labda kuufundisha u LGBTq+
 
Hali ya vita inazidi kuwa mbaya kwa Israel kiasi kwamba wamelazimika kuondoa vikosi vyake kadhaa kutoka uwanja wa vita.
Sababu kuu inayotajwa ni kuporomoka kwa uchumi wa nchi hiyo kiasi kwamba hakuna tena mafungu ya kuwahudumia askari walio mstari wa mbele.Sababu nyengine isiyowekwa wazi na nchi hiyo ni hasara za kivita na kuporomoka ari ya kupigana ya askari hao.
Hapo juzi jeshi la Israel lilitangaza vifo vya askari 25 ikiwa ni matokeo ya kupigana wenyewe kulikotajwa ni kimakosa.
Upande wa ukingo wa magharibi nako hali ni ya kutisha ambapo wapiganaji wa kipalestina wameongeza nguvu katika kujibu mapigo ya jeshi la Israel..Baada ya mashambulizi yaliyodumu usiku kucha kwenye kambi ya Qalqilya asubuhi kulishuhudiwa maeneo kadhaa yakiwaka moto na huku askari wa IDF wakikimbia na kusindikizwa na warusha mawe.
We bwege ndio ripota wa hayo mapigano? Kwanini usifanye mambo yako, pilipili usisozila zakuwashia nini, ndio maana mnadharauliwa na hao waarabu wenyewe.
 
Waliokufa ni zaidi 22000.Wengi wao ni watoto wachanga na akinamama na wazee.
Hakuna hata Hamas mmoja aliyeuliwa ukiondoa dhana za IDF na hakuna mateka aliyekombolewa na Hamas inaendelea kupigana pamoja na kuzuiliwa kupata chakula na maji.
Vita haichagui we bwege, ila hakuna jitu jinga km wewe hapa duniani. Hata haya huna maana ni lizombie wewe
 
Vita ya hao "takbir" ni nzito na inaviapo vya kiimani na mechi huwa ngumu mkiwafata home ground.Hawaofii kufa ila vita itachukua muda na uchumi mkubwa utawaghalimu .USA mwenyew aliamua acha aibu impate kuliko kupambana na wataliban wasiosikia maumivu,uchumi mwingi kauhalibu pamoja na rasilimali watu.mbaya zaidi wanajichanganya na innocent people,ukijichanganya shingo hauna [emoji23][emoji23]. USA makaburi ya makumbusho ya makomandoo kidogo yajae
 
Taarifa zote unazotoa wewe ni feki na haziaminiki kwa sababu wewe uko upande wa magaidi wa Hamas.
 
Back
Top Bottom