Wrevta
JF-Expert Member
- Jan 18, 2023
- 1,442
- 1,731
Mama yake alikuwa na hela?Mama yake Obama nae alikuwa kiruka njia,maana nae alikuwa na wanaume 3-4 tofauti.Ila uzuri wake yeye alikuwa na kipato.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama yake alikuwa na hela?Mama yake Obama nae alikuwa kiruka njia,maana nae alikuwa na wanaume 3-4 tofauti.Ila uzuri wake yeye alikuwa na kipato.
Khaaaaa!
kiwa mstaarabu ni ngumu sana kupata mwanamke sababu watakuambia hawana hisia na wewe
Me too
Acha wivuMabint waruhusiwe kuwa na boyfriend tatizo vijana wa kiume uwiii Ndio itakuwa umemkabidhi chakula
Ni wewe ndiyo hutofanya chochote. Mimi baba yangu alifanya hicho unachoogopa wewe kufanyaShukuru Mungu hayajakukuta tuu. Utalia na hautafanya chochote
Ni wewe peke yako ndiyo huna cha kufanyaNina mashaka kama hata una watoto. Mzazi huwezi kusema hivo....hili ni janga,yeyote anaweza kuwa mhanga na hakuna cha kufanya.
Nikwelihali inasikitisha sana,swala la malezi naona ndo tatizo, mzazi ndo anapaswa kumuelimisha mtoto,jukumu la malezi kwa mtoto serikali hai husiki nalo kwani mzazi ndo anakaa na mtoto huyo,mzazi anapaswa kumweleza mtoto kila kitu kuhusu uzazi, zipo sababu nyingi zinazo pelekea swala hilo kutokea, mfano mtoto amezaliwa na singo maza unategemea ye afanyeje?,wazazi kutokuwa wakali wa kukemea maovu kwenye familia,mfano dada mkubwa amezalia nyumbani hakuna onyo lolote lilotolewa kwa ukali kwa hiyo wadogo zake watachukulia kawaida kuzalia nyumban maana watasema mbona flan kazalia nyumbani haja semwa wala kufukuzwa?,kingine mama kuwa na sauti kwenye familia hii ina changia sana kwani kila watakacho fanya watoto ata wakingia kifua.n.b. Babu zetu na bibi zetu walizuia tatizo la watoto wao kuzalia nyumbani kwa kuwa wakali,au mtoto kufukuzwa na kutengwa na familia kwa kuzalilisha ukoo ule ,kwa hiyo na wengine waliogopa kuzalia nyumbani wasitengwe,kufuzwa na kukosa waume.malez ni jukumu lako mzazi sio serikali.