Mbwana mohamedi
Senior Member
- Aug 1, 2018
- 141
- 151
Hapo ndugu umepoteza mada waziguwa hawapo ivyo kama unavyo zani kama ni mtu mwenye huluka yake hata awe nani anafanya hiyo haina kabilaKijana wa kiume wa kizigua akishaweza kumiliki nyumba ya fito imeezekwa kwa nyasi(biwi), baiskeli, gobole, shoka na panga. Huyo ameshakua na uwezo wa kuoa.
Wazigua wanapenda sana majina ya kike ya, majabu, mwajabu, masefu, zaitun, habiba nk.
Huu sasa ni udhoefu wangu. Demu wa kizigua hata kama umemuoa, akienda kusalimia kwao kijijini, kama alikua na basha wake lazima atapasha kiporo joto.
Labda lakini nimekulia uziguani. Pengine mtoa mada anataka kuoa mzigua aliyezaliwa na kulelewa mjini.Hapo ndugu umepoteza mada waziguwa hawapo ivyo kama unavyo zani kama ni mtu mwenye huluka yake hata awe nani anafanya hiyo haina kabila
Hapo kiongozi nimekuelewa sanaLabda lakini nimekulia uziguani. Pengine mtoa mada anataka kuoa mzigua aliyezaliwa na kulelewa mjini.
Pia wadada wa kizigua ni wazuri sana kwa sura lakini chura wengi hawana.
Ukienda uziguani hakikisha una tula au mkaa mfukoni. Mazongo ni mengi sana.
Wazigua ni wakarimu sana, waongeaji na wachangamfu sana.
Kuhusu kufanya kazi kujituma wanajitahidi sana ingawaje makabila ya mkoa wa Tanga, mwanamke akishaolewa wengi wanaamini jukumu la kutafuta maisha ni la mwanaume peke yake.
Wanapenda sana kuongea lugha yao.
Mwisho kabisa, natabua umuhimu wa kujua tabia za asili kwa kabila lakini mtoa mada nikukumbushe kua hauoi wanawake wote au kabila zima la wazigua. Dunia imebadilika na imeharibika usiishi kwa kukalili. Chagua ke unayeona ataweza kuendana na midundo yako. Ufilauni na mahovyohovyo siku hizi yapo kwa makabila yote.
Asante mkuuLabda lakini nimekulia uziguani. Pengine mtoa mada anataka kuoa mzigua aliyezaliwa na kulelewa mjini.
Pia wadada wa kizigua ni wazuri sana kwa sura lakini chura wengi hawana.
Ukienda uziguani hakikisha una tula au mkaa mfukoni. Mazongo ni mengi sana.
Wazigua ni wakarimu sana, waongeaji na wachangamfu sana.
Kuhusu kufanya kazi kujituma wanajitahidi sana ingawaje makabila ya mkoa wa Tanga, mwanamke akishaolewa wengi wanaamini jukumu la kutafuta maisha ni la mwanaume peke yake.
Wanapenda sana kuongea lugha yao.
Mwisho kabisa, natabua umuhimu wa kujua tabia za asili kwa kabila lakini mtoa mada nikukumbushe kua hauoi wanawake wote au kabila zima la wazigua. Dunia imebadilika na imeharibika usiishi kwa kukalili. Chagua ke unayeona ataweza kuendana na midundo yako. Ufilauni na mahovyohovyo siku hizi yapo kwa makabila yote.
[emoji41] hatari sanaKijana wa kiume wa kizigua akishaweza kumiliki nyumba ya fito imeezekwa kwa nyasi(biwi), baiskeli, gobole, shoka na panga. Huyo ameshakua na uwezo wa kuoa.
Wazigua wanapenda sana majina ya kike ya, majabu, mwajabu, masefu, zaitun, habiba nk.
Huu sasa ni udhoefu wangu. Demu wa kizigua hata kama umemuoa, akienda kusalimia kwao kijijini, kama alikua na basha wake lazima atapasha kiporo joto.
Hakuchimanya vyediUyo kumwaza kabisa hakwelewe
Hivi kuna mwanamke asiye tombeka?Wanawake wa kizigua wanatombeka sana mtaani
Kazi ya mwanamke ni kuandaa kitanda na kupika na kufanya usafi tu. kazi ya mwanaume ni kuleta maendeleouliwahi kuonya kuwa hawafai hasa wanaume ni legelege, na wanawake wapenda starehe na sio maendeleo (kasoro wewe unajitambua)
Hapo mkuu umempa muongozo mkubwa sanaNgoma za asili ni Kama vile Selo na machindi [emoji14][emoji14][emoji14][emoji450][emoji440][emoji446][emoji441]
Unataka kusemaje kwaniHivi kuna mwanamke asiye tombeka?
Ukikutana na warangi je? wanawake wa kusini je?
sio Kwa Hawa Wanawake Wa Tanga Lazima Uwe Na Formulakwan nia yako ni ipi ?
wanawake hawana formula, oa umpendaye.